Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Hivi kwanini kila mtu humu anatudharau sisi waalimu, wakina dink, hurry marry wote wana tudharau, hata wale wasio kua na nyuma au mbele, mpaka mashoga wana tudharau, sisi tumekua laughingStock wa jamii forum au ni kwasbb ya hu basics zetu kua ndogo. Walianza na masingo maza, waka hamia kataa ndoa sasa wame hamia kataa ualimu ni umasikini........hilo lina sababisha na ukosefu wa ajira idlers/jobless wamekua wengi humu, wengi wanatamani huo ualimu ila hawaupati so resorted on defense mechanisms.
Mashoga gan wanadharau Walimu?? Mmmh
 
Ukiendelea na huu utaratibu wako wa kupoteza nguvu nyingi, kufuatilia maisha ya wanadamu wenzako; utachelewa sana kuendelea.

Hayo makundi mawili uliyoyataja hapa, ni makundi ya wanadamu tu kama wewe. Sasa ukitaka waishi kama malaika, utaonekana wazi una matatizo kichwani.


Maana nina uhakika wa 100% hata wewe mwenyewe hapo ulipo, huna ukamilifu wowote ule. Live your life, and mind your own business young man! Don't waste your time, dealing with others business.
Usichokijua katika maisha ni kuwa kuyanyamazia makosa ni kutaka yaendelee. Walimu ni ndugu zetu katika jamii hali kadhalika askari polisi. Wanafamilia zao wanategemewa katika jamii. Sio kila mtu ataongelea kula tunda kimasihara, wengine tunaangazia upande wa pili wa jamii. Tusipowazindua wengi wao wataishia jela, wengine watakuja kustaafu na hawana chochote kile. Lakini pia tunaikumbusha serikali kupitia hizi nyuzi kufuatilia maisha ya watumishi hususani kwenye kada hizi mbili ambazo siku hizi za usoni ukweli ulio mchungu wamegeuka vituko katika jamii. Sasa wewe ndugu yangu kama ni mwalimu au ni askari ukae kwa kutulia wenyewe mmeshindwa kujitetea.
 
Hayo uliyotaja hakuna anayeruhusiwa kuyafanya hata kama si mwalimu.
Mmomonyoko wa maadili upo kila sekta.
Sasa kama mmomonyoko wa maadili upo Kila sekta,usinifokee mimi nimeamua kuwazumgumzia walimu na askari polisi ambao Nina ushahidi nao. Hao wengine wataongelewa na wengine sisi tutachangia
 
Mkuu jifunze kuwa na akiba ya maneno.

Bila hao walimu unaowasema vibaya leo, sidhani kama hata ungeweza kuandika hicho ulichoandika.

SIJAFUNDISHWA NA WALIMU . ASILIMIA 80 NIMEJIFUNDISHA MIMI MWENYEWE HIZO 20 NI WAZAZI NA MWALIMU WANGU BINAFSI

WANA MAISHA MAGUMU SANA NI KADA YENYE LAAAANA

KATAAA UALIMU NI LAAAAN
 
Usichokijua katika maisha ni kuwa kuyanyamazia makosa ni kutaka yaendelee. Walimu ni ndugu zetu katika jamii hali kadhalika askari polisi. Wanafamilia zao wanategemewa katika jamii. Sio kila mtu ataongelea kula tunda kimasihara, wengine tunaangazia upande wa pili wa jamii. Tusipowazindua wengi wao wataishia jela, wengine watakuja kustaafu na hawana chochote kile. Lakini pia tunaikumbusha serikali kupitia hizi nyuzi kufuatilia maisha ya watumishi hususani kwenye kada hizi mbili ambazo siku hizi za usoni ukweli ulio mchungu wamegeuka vituko katika jamii. Sasa wewe ndugu yangu kama ni mwalimu au ni askari ukae kwa kutulia wenyewe mmeshindwa kujitetea.
Ila ujitahidi pia kuuzingatia ushauri wangu kama hutojali. Mimi kwa kweli hapana. Sina kabisa muda wa kufuatilia maisha binafsi ya mtu asiye nihusu.
 
Sisi walimu tumewatendea nini ndugu zetu? Kejeli zote hizi na bado mnatukabidhi watoto wenu tuwalee? Nani mpumbavu sasa hapo, sisi au ninyi mnaokabidhi watoto kwa watu wa hovyo?

SIWEZI KUMPA MWALIMU WA TANZANIA MTOTO WANGU

MADOGO WAKO SHULE YENYE WALIMU WA KIGENI


KATAAA UALIMU NI LAAANAAA
 
Ila ujitahidi pia kuuzingatia ushauri wangu kama hutojali. Mimi kwa kweli hapana. Sina kabisa muda wa kufuatilia maisha binafsi ya mtu asiye nihusu.
Sijafuatilia maisha ya mtu ndugu yangu, kwasababu sijamuongelea mtu Fulani. Nimeongea na kundi la watu katika jamii na uzuri Kila kinachofanyika kinakuwa wazi kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Labda kama Kuna nilichokiandika ambacho nimewasingizia?
 
Shikilia nukta ya mzozo,tunakuzungumzieni ninyi askari polisi na walimu. Hao wanasiasa unaowataja ni mabwana wakubwa ambao hamna sauti mbele Yao na wanakuoneni kama hamjielewi pengine.
Ishu nimekuambia sisi sote Watz kwenye interest zetu uwa Utujali nani ataumia si mwalimu, si askari , si mwanasiasa , si muuguzi
 
Zamani nilikuwa najua kuwa walimu ni kioo Cha jamii,kumbe nilikuwa najidanganya huenda ni kwasababu nilikuwa mtoto kipindi hicho au kwasababu walikuwa watu wa karibu yangu kwasababu nilikuwa mwanafunzi na niliwachukulia kama watu waliofanikiwa zaidi katika jamii.

Leo nashuhudia mengi kutoka kwao mpaka napingana na mtazamo wangu wa zamani. Kumbe walimu wengi wao ni wahuni kuliko vile nilivyokuwa nadhania.

Juzi juzi tu hapa walimu wameuana kugombania madaraka,aibu sana hii. Mara walimu utasikia wamekutwa na kashfa ya wizi wa mitihani wengine wameiba fedha za miradi. Kuna wengine wamekutwa na hatia Kwa makosa ya kuwaweka mimba wanafunzi wao.

Serikali imewapa vishikwambi lakini wengi wao wanavitumia kubetia. Wengine wameshaviwekea poni vilabuni Kwa kushindwa kulipa bili za pombe chafu walizokuwa wanakopa.

Tukija Kwa askari polisi nao hali kadhalika. Wengi wao wanavuta bange na kutumia vilevi vikali sana. Wameharibu maisha yao kwa kuendekeza anasa.

Askari polisi mnakula rushwa bila haya. Mnatumika na wanasiasa kama vile mfugaji anavyotumia mbwa kulinda mifugo yake. Mpo kulinda masilahi ya wanasiasa wenyewe mkiendelea kuvaa sare zenye viraka na viatu vinavyocheka.

Jirekebisheni mnatia aibu.
Wale ulikua nao watoto kipindi hicho ndiyo wamekuwa walimu sasa.wakanye uliokua nao kiumri wabadilike
 
Back
Top Bottom