Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Imekuwa kawaida sana kwa walimu kuanzia chekechea, sekondari kasoro labda vyuoni tu. kupenda sana kuomba omba wazazi pesa mara nimekwama, mara naazima.
Mimi kama mzazi nimeshuhudia walimu wa shule moja ya seminary za miaka hii maana seminari za zamani kulikuwa hakuna walimu wanaopiga mizinga . sijui wanafikiri ukipeleka mtoto shule ya mission ada iko juu basi unahela muda wote, hii ni rushwa tunailea.
shule zikifungwa mkifuata ripoti na matokeo ya mtoto mwl anasubiri kupewa vijipesa . Hivi watoto wetu mnawafundisha maadili gani kama mwl unatafuta kila mwezi kupiga mizinga wazazi wa watoto wa shule unayofundisha.
Walimu mbadilike kama mzazi atakupa ya vocha ni awe amaeamua na sio mgeuke ombaomba kama walinzi wa maegesho.
Mimi kama mzazi nimeshuhudia walimu wa shule moja ya seminary za miaka hii maana seminari za zamani kulikuwa hakuna walimu wanaopiga mizinga . sijui wanafikiri ukipeleka mtoto shule ya mission ada iko juu basi unahela muda wote, hii ni rushwa tunailea.
shule zikifungwa mkifuata ripoti na matokeo ya mtoto mwl anasubiri kupewa vijipesa . Hivi watoto wetu mnawafundisha maadili gani kama mwl unatafuta kila mwezi kupiga mizinga wazazi wa watoto wa shule unayofundisha.
Walimu mbadilike kama mzazi atakupa ya vocha ni awe amaeamua na sio mgeuke ombaomba kama walinzi wa maegesho.