Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣Tumefikiwa.....😹
Hii haituhusu, wazazi wetu ni walalahoi kama sisi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Tumefikiwa.....😹
Ni wale wanataka rusha ngumi kwa kikao kisa wameambiwa remedial itakua ni tsh 200 😹😹😹😹😹🤣🤣🤣🤣
Hii haituhusu, wazazi wetu ni walalahoi kama sisi tu.
Afu walimu wakike wakikapenda katoto shuleni, kuna hatihati mzazi wa mtoto akatunukiwaTumefikiwa.....😹
Sisi ambao tunaitwa "watanzania wa kawaida" au "watanzania wa chini"🤣🤣🤣🤣
Hii haituhusu, wazazi wetu ni walalahoi kama sisi tu.
We ni mwalim?Sasa wewe umeombwa na mwalimu mmoja umekuja kufanya hitimisho huku kuwa ni walimu wote,mimi mbona sijakuomba wewe?
Pamoja na njaa zao hawana tabia hiyo ya kupiga vizinga kwa wazazi wa wanafunzi.Kuna walimu wenye njaa kama hao wa government?
Ndiyo mimi mwalimu,A primary school teacher in LiwaleWe ni mwalim?
Yaelekea huwajui wewe..Pamoja na njaa zao hawana tabia hiyo ya kupiga vizinga kwa wazazi wa wanafunzi.
Mkuu angekuwa specific na shule x. Hata huko private Kuna walimu wako simati.Mleta nada anasomesha mtoto wake kwenye shule ya kuunga unga hata kulipa walimu ni shida. By the way Hilo laweza kuwa tatizo la mtu MMOJA ila yeye anajumuisha walimu wote.Kwanini uwajumuishe wote na wa serikali.
Serikalin kuna maadili. Hiyo haiwahusu government teachers kaa mbali wewe kiazi maani.na zako
Tena edit uzi wako
Kwenye shule za English kuna baadhi ya wazazi huwa ni hopeless sana, wewe ni mmoja wao.Imekuwa kawaida sana kwa walimu kuanzia chekechea, sekondari kasoro labda vyuoni tu. kupenda sana kuomba omba wazazi pesa mara nimekwama, mara naazima.
Mimi kama mzazi nimeshuhudia walimu wa shule moja ya seminary za miaka hii maana seminari za zamani kulikuwa hakuna walimu wanaopiga mizinga . sijui wanafikiri ukipeleka mtoto shule ya mission ada iko juu basi unahela muda wote, hii ni rushwa tunailea.
shule zikifungwa mkifuata ripoti na matokeo ya mtoto mwl anasubiri kupewa vijipesa . Hivi watoto wetu mnawafundisha maadili gani kama mwl unatafuta kila mwezi kupiga mizinga wazazi wa watoto wa shule unayofundisha.
Walimu mbadilike kama mzazi atakupa ya vocha ni awe amaeamua na sio mgeuke ombaomba kama walinzi wa maegesho.
Yeeeehh babaaa marupurupuAfu walimu wakike wakikapenda katoto shuleni, kuna hatihati mzazi wa mtoto akatunukiwa
Nitunuku basi 😂😂Yeeeehh babaaa marupurupu
Leta hela ya twisheni kwanzaNitunuku basi 😂😂