Walimu naomba mjirekebishe na hili la kuomba tip

🤣🤣🤣🤣
Hii haituhusu, wazazi wetu ni walalahoi kama sisi tu.
Ni wale wanataka rusha ngumi kwa kikao kisa wameambiwa remedial itakua ni tsh 200 😹😹😹😹😹
 
Punguza shobo na maticha, watakutia Linda za mdomo na kinyero
 
Kwanini uwajumuishe wote na wa serikali.

Serikalin kuna maadili. Hiyo haiwahusu government teachers kaa mbali wewe kiazi maani.na zako


Tena edit uzi wako
Mkuu angekuwa specific na shule x. Hata huko private Kuna walimu wako simati.Mleta nada anasomesha mtoto wake kwenye shule ya kuunga unga hata kulipa walimu ni shida. By the way Hilo laweza kuwa tatizo la mtu MMOJA ila yeye anajumuisha walimu wote.
 
Mkiambiwa mtoe michango mnalalamika, mkiombwa kwa wema bado lawama.
Si kakuomba kwani umelazimishwa kumpa??
 
Kwenye shule za English kuna baadhi ya wazazi huwa ni hopeless sana, wewe ni mmoja wao.
 
Hivi vidada vya daycare watu wanavipelekeaga sana moto,,wakikuona kama una harufu ya visenti lazima watafute upenyo kupitia mwanao ili wakufikie,,wakianza kulia njaa wengine hawalazi damu pesa inatoka na kyupi
 
Mkuu wewe ni Jinsia gani!!!??
🤬🤬🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…