KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„
 
Kama unaweza fanya Kila namna mtoto wako asiwe mwl au polisi utakuwa umemsaidia ikibidi muelekeze kwenye biashara na maisha mengine hii kazi ajuae ni Mungu ila ni ngumu na Ina mitihani mizito sana
(By experience)It takes strong courage to live as a teacher
 
Wenyeji WA mkoa WA songwe Wana roho mbaya,wachawi na ni wabaguzi Kwa watumishi. Yawezekana mnamsagia kunguni huyo mwalimu .
 
Ccm chanzo cha haya,walimu wamesahaulika sana
 
Hilo mbona tatizo dogo sana ambalo halikustahili kufika huku. Ungeanzia kwa mkuu wa shule, akishindwa kwa AEK, au mwenyekiti wa bodi ya shule.
Ungekuwa umemsaidia mwalimu na wanafunzi pia ila hapo moto lazima uwake.
 
Nimemkumbuka mwl. Haule
Tukiandikwa majina ya wapiga kelele anatuambia "ili nikusamehe nunua biscuit zangu moja 50"
Usiponunua unapigwa fimbo ukinunua unasamehewa kupiga kelele darasani.
Kwa hiyo ulikuwa unanunua biscuit? Pole saana
 
Sasa wewe ticha haujui yaliyomkuta mwenzio pale Mlowo alipokuwa anajaribu kuongeza mihela kupitia kipodozi ? Muache afanye hiyo biashara maana ni halali na sio ya magendo muache ajitafute maana alichukuliwa nyingi
 
Wazazi muwe mnawapa watoto japo hela za vikaranga vya ku-support hao walimu shuleni bhana, Nyie mmefanyiwa elimu bure mnashindwa kufanya hata hivyo vitu vidogovidogo jamani, Kwani mlilazimishwa kuzaa au mlifuata mikumbo?
 
Ila walimu kwa majungu, hamjambo. Sasa unadhani hii taarifa yako itafanyiwa kazi..??
Any sane individual anaona kabisa kwamba haya ni majungu tu
 
Ila walimu kwa majungu, hamjambo. Sasa unadhani hii taarifa yako itafanyiwa kazi..??
Any sane individual anaona kabisa kwamba haya ni majungu tu
Walimu wanaoneana wivu kwa vitu vidogo sana. Roho za kimasikini zinawasumbua.
 
Acha unoko wewe kwani hao madogo wakimuungisha huyo mwalimu kununua hizo karanga za 100 au 200 Kuna shida gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…