KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

KERO Walimu Sekondari JM Kikwete ya Tunduma waache kulazimisha Wanafunzi kununua karanga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hiyo ndiyo staili ambayo walimu wanatumia kufikisha ujumbe kwa Serikali!
Kazi ni kwetu sisi wenye watoto!
 
Viboko vinasababisha walimu wanyanyase wanafunzi. Vinatengeneza mazingira mabaya sana. Kuna mwalimu wetu wa shule ya msingi alikuwa anaogopeka sana kwa fimbo, akatumia kuogopeka huko kutaka kumbaka mwanafunzi ofisini.
 
Back
Top Bottom