Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Unafungua hii code?Tafadhali, lipa mwanao apate elimu ambalo ndio lengo kuu. Yaani lengo lifikiwe kwa njia yoyote ile. Yaani syllabus ya form IV ndani ya mwezi mmoja, ingawaje ni mwaka wa mtihani kwa sehemu kubwa ni marudio.
Mkuu wewe na wenzako ni wapumbavu samahani LakiniKinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.
Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.
Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.
Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.
Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
elfu 5 kwa mwezi.Kiasi gani mnachangia ?
Hawa watu wanashangaza kweli. Bure ishawalemaza.Hivi nyie mtaacha ujinga lini?
Anafundishwa mwanao kwa maslahi ya familia yako unakuja kulialia humu. Watoto wa viongozi wanaosoma shule za St kunani pamoja na mamilioni ya ada wanayolipa lakini wakiambiwa wator mchango huwa wanaotoa chap. Huku kwenye shule zetu za St mbwiga unaambiwa elimu bure ila ukiambiwa mchango wa elfu kumi tu tayari ushaanza kelele.
Endeleeni kukaa na ujinga wenu hadi akili ziwakae sawa.
Ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi anasoma huko St mbwiga.. huko St mbwiga tunatengeneza wapiga kura ( mbwiga wa kiwango cha lami) huku sisi watoto wetu tunawatengeneza waje kuwa viongozi wenu huko St mbwiga.
Sasa elfu tano kwa mwezi ni nyingi, mbona uko nje mnatoa +10000 na hamlalamiki. Mwalimu hapo kajitolea masaa ya ziada ili watoto wenu wapate kujua vitu mapema mnalalamika. Huo muda mwalimu ilibidi awe na familia yake, embu fikirieni tena.elfu 5 kwa mwezi.
Mzazi hawezi kukosa elfu tano bali ni ulimbukeni tu. Elimu bure ni kwenye ada ila kwenye maendeleo ya shule lazima uchangieIla hii sio haki inamaana wale wasiokuwa na pesa hizo topic ndo zishawapita. Kwakwel hili suala liangaliwe vizuri hawa walimu ni jukumu lao la msingi kuwafundisha hawa wanafunzi bila kujali malipo kwani mishahara wanalipwa na serikali sasa kwanini hawaridhiki.
Nakumbuka kna mwalimu mmoja wa physics kipnd nasoma alikuwa na tuituon yake mahali,. Hivyo kuna topic alikuwa haufundishi darasani anafundisha kwenye tuition yake ty, na kutushinikiza kama tunakata kusoma hizo topic bas tujiunge na tuition yake vinginevyo nd ushapitwa hivyo. Na katika mtihani anatoza hizohizo topic ananzofundisha huko, na kutuadhibu vikali tukifeli
Hakuna vikao vya wazazi huko shuleni mkuu? Kama kitu wazazi hawajakiridhia pelekeni si kuna uongozi wa wazazi pelekeni malalamiko wamfate mkuu wa shule wamwambie wazazi hawataki.Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.
Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.
Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.
Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.
Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
Akimaliza form 4 atakaa sana tu likizo kwasasa apambane.Likizo yatakiwa iwe likizo
Kumbe humu hata fomu silii wamo 😀Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.
Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.
Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.
Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.
Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
Nyie nanyi mnalia lia sana?Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato cha tatu wanalazimishwa kulipa pesa ya tuition ili waweze kufundishwa maada zote za kidato cha nne kipindi cha likizo.
Wanafunzi ambao hawatalipa hawapati haki ya kufundishwa hizo mada hata baada ya shule itakapofunguliwa kwa maana baada ya likizo ya Desemba.
Naomba Afisa Elimu atusaidie hili kwani Wazazi tunaumia kwa kinachoendelea, Watoto wanakosa Haki ya Msingi na pia ni wajibu wa Walimu kufundisha Wanafunzi.
Kinachoendelea Wanafunzi wameambiwa watoe pesa ya tuition ili wafundishwe kipindi cha likizo ya Desemba, ambaye hatatoa imekula kwake, maana mwezi wa kwanza hawatarudia kufundisha mada za Kidato cha Nne katika vipindi vya darasani.
Tunaomba Serikali itusaidie kwenye hili, kwani ikitokea mzazi una changamoto ya kifedha Desemba hii inamaanisha mwanao naye atayumba kielimu.
Tanzania hua hatuelewi,tunakaririWewe ni mpumbavu sana tena sana, yaani watoto wakasome masomo ya f4 kwa mwezi mmoja wa likizo kwa lazima hiyo ndo elimu? Unajua maana ya elimu?
Kuelimisha kuna utaratibu wake kama wewe ulikariri tuisheni kwa masomo ya mwaka mzima ukafundishwa kwa mwezi mmoja ndo unadhani una elimu? Wewe ni mjinga kuzidi hao unaowaambia wajaribu ujinga
Acha watoto waende likizo ndo utaratibu wa elimu.
Mzazi hawezi kukosa elfu tano bali ni ulimbukeni.Ila hii sio haki inamaana wale wasiokuwa na pesa hizo topic ndo zishawapita. Kwakwel hili suala liangaliwe vizuri hawa walimu ni jukumu lao la msingi kuwafundisha hawa wanafunzi bila kujali malipo kwani mishahara wanalipwa na serikali sasa kwanini hawaridhiki.
Nakumbuka kna mwalimu mmoja wa physics kipnd nasoma alikuwa na tuituon yake mahali,. Hivyo kuna topic alikuwa haufundishi darasani anafundisha kwenye tuition yake ty, na kutushinikiza kama tunakata kusoma hizo topic bas tujiunge na tuition yake vinginevyo nd ushapitwa hivyo. Na katika mtihani anatoza hizohizo topic ananzofundisha huko, na kutuadhibu vikali tukifeli