NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Katika hali isiyotarajiwa wanafunzi wameanza kupata shida mashuleni.
Iko hivi, baada ya Serikali kutoa mwongozo kwa ajili ya watoto wetu kula chakula mashuleni hali imekuwa tofauti kabisa.
Watoto wanalalamika kuwa chukula wanachopewa ni kibaya, wameenda mbali na kusema wakati mwingine kinakuwa kibichi. Kutokana na hali hiyo watoto wengi hawatoi pesa ya mchango wa chakula wanyopewa na wazazi wao na kuamua kununua kile wanachokitaka.
Sasa hili la kutotoa hela ya chukula na kuamua kununua chakula nje ya shule, wanafunzi wa shule ya Msingi CHANIKA kufungiwa darasani kwa wale wasiotoa hela ya chakula muda wa mapumziko na kuambiwa kwa lugha kali kuwa endapo watakuwa hawatoi pesa hata shule watafukuzwa.
Je, huu ndio mwongozo wa serikali uliyotolewa?
Iko hivi, baada ya Serikali kutoa mwongozo kwa ajili ya watoto wetu kula chakula mashuleni hali imekuwa tofauti kabisa.
Watoto wanalalamika kuwa chukula wanachopewa ni kibaya, wameenda mbali na kusema wakati mwingine kinakuwa kibichi. Kutokana na hali hiyo watoto wengi hawatoi pesa ya mchango wa chakula wanyopewa na wazazi wao na kuamua kununua kile wanachokitaka.
Sasa hili la kutotoa hela ya chukula na kuamua kununua chakula nje ya shule, wanafunzi wa shule ya Msingi CHANIKA kufungiwa darasani kwa wale wasiotoa hela ya chakula muda wa mapumziko na kuambiwa kwa lugha kali kuwa endapo watakuwa hawatoi pesa hata shule watafukuzwa.
Je, huu ndio mwongozo wa serikali uliyotolewa?