Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Hakika nimeshakufahamu Kaka,Unabahati hujamtaja yule anayeendesha kipindi flani star-tv, Unabahati kubwa Sana

Sasa Wacha nikwambie kitu,majira Kama haya mwakani Jiandae na wewe kuandikwa hivi hivi Kama ulivyowaandika wenzako!!!
 
Suluhisho hapa ni katiba mpya tu. Kama mwalimu mleta mada anatumia x penye s, katiba ni muhimu sana.
 
Umeamua kuwachongea wanzako. Eti akaenda kwa kiongozi wa chama [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we wachongee wenzio malipo hapa hapa duniani
 
Wewe utakuwa mwalimu wa masomo ya Arts ndio maana unawachongea walimu wa Sayansi.

Mpumbavu wewe.
Nani alikwambia usome masomo ya HXY?.
 
Unaacha kwenda polisi unaenda kwa mkuu wa chama akili sijui zinakuaga wapi
Anyway madam watakua wamekuelewa wahusika maana umeandika kwa uchungu sana na inabidi vitendo kama hivi vikomeshwe
Alafu tuhamie kwa hawa wapumbavu wanaosema posho ya mwalimu ni mwanafunzi wa kike[emoji35]
Sasa mishahara haitoshi mnawadharau unataka wasemaje.

Badilisheni mitazamo yenu juu yao la sivyo mabinti zenu wataendelea kuitwa marupurupu yao
 
Back
Top Bottom