Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Hakika nimeshakufahamu Kaka,Unabahati hujamtaja yule anayeendesha kipindi flani star-tv, Unabahati kubwa Sana

Sasa Wacha nikwambie kitu,majira Kama haya mwakani Jiandae na wewe kuandikwa hivi hivi Kama ulivyowaandika wenzako!!!
 
Suluhisho hapa ni katiba mpya tu. Kama mwalimu mleta mada anatumia x penye s, katiba ni muhimu sana.
 
Umeamua kuwachongea wanzako. Eti akaenda kwa kiongozi wa chama [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we wachongee wenzio malipo hapa hapa duniani
 
Wewe utakuwa mwalimu wa masomo ya Arts ndio maana unawachongea walimu wa Sayansi.

Mpumbavu wewe.
Nani alikwambia usome masomo ya HXY?.
 
Sasa mishahara haitoshi mnawadharau unataka wasemaje.

Badilisheni mitazamo yenu juu yao la sivyo mabinti zenu wataendelea kuitwa marupurupu yao
 
Hapo kwenye mrejesho ndo umeandika nini sasa we mpuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…