Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Na kurogana wenyewe Kwa wenyewe.Kuna wilaya Fulani naihifadhi huko Tanga walimu hasa wa Msingi wanarogana ofisi Hazina Amani.Wanachukuliwa hatua Kali na wakubwa wao kisa uchawi
 
Reactions: ALT

 
swala lako ni nyeti sanaaa mm binafs ni mbaka nisikie pia upande wa pili unasemaje.
sometimes hivi vitoto huku mashuleni sio vya kuviamini sanaa vingne vinatumika hata na walimu kuwachafua walimu wengne( mfano wanaotafuta madaraka na vyeo) au pia tcha anaweza kukachapa fimbo kakachukia kakaanza kusingizia mambo mengne...kabsa sasa mkifanya mambo kwa mihemuko mnaweza kuta mnazurumu haki ya mtu mwigne tuwe makini pia kwa hilo.
NB: swala la walimu wasiowaaminifu na maadili ya kazi zao wapo pia.
 
much point mtumishi makazini kuna.majungu sanaa.
kuweni makini na mambo ya kuambiwa mleta maada kuna jambo lipo nyuma yake tusilolijua
 
Mwalimu mleta mada na watuhumiwa shule nzima hamjatimia kabisa.
 
Ushauri ninaoweza kukupa, wape karatasi wanafunzi waandike majina ya sisi waalimu tunaowakula, tofauti na hapo, najiandaa kuchukua kiti chako.
Hicho kirai kilichokolezwa wino (bolded) ndiyo mzizi wa fitina na wala siyo tuhuma zenyewe.
Ndugu Mwalimu, ninadhani chuoni ulifundishwa kazi tatu za msingi (kufundisha, kupima na kutoa ripoti/matokeo ya upimaji).
Mambo ya uongozi ni matokeo ya utendaji wako wenye mwonekano chana na si vinginevyo.
Ninakushauri usiwe limbukeni wa tehama.
Tuiza kichwa fanya kazi. Acha majungu.
 

Ndiye huyu mhusika?

Nakazia namie....akuje hku adadavue
 
Asante sana ALT. Kuna watu wana mawazo ya kishetani humu. Wanakushutumu kwa ku-expose uchafu. Usikate tamaa. Giza haliwezi kushinda nuru.

Thanx wang....nangoj waalim waropoke xnaaa ile nilete mkeka wa tano bora.....iliyoandikwa na wanafunz wa ke baada ya kupewa karatas kwa maelekezo ya viongoz wilayani......yaan, mwalim...unatajwa na wanafunz wa kike 68.....unaxema we so mzinzzzz?....metulizana nawachek tyuuuu....looollllll.....
 
hili ni janga lingine
unajua mtoto yupo na mwalimu wake kumbe ana fanyiwa ufuska

Yaaan....dam inavujia kumoyo.....wat makatil xana.....ukiona mtu anakomenti kwa haxra xanaa....jua katajwa na wanafnx wa kike xo chin ya 50. Ma bebi, kwel wote hao wakuxngxie?....
 
Jamani ikiwa watachunguzwa na kugundulika ni kweli basi atakuwa sahihi. Ila butimba sekondari wanafunzi wakike wanateseka sana. Kuna walimu,askari magereza na wanachuo wa butimba TTC wote wanataka utamu kutoka kwao.

Uxchngz umebain mhusika alifanya tukio...ila xhda, wa kuxoma alipokimbia nymban, alixhona skt, ivo, tume ikaxema....wa kuxoma alipteza uxhaid. Kwa maana iyo, angekja skul bla kuxhona skit, uxhaid ungdkuepo ivo, hatua ingexhkuliwa. Upo wang?
 
Uxchngz umebain mhusika alifanya tukio...ila xhda, wa kuxoma alipokimbia nymban, alixhona skt, ivo, tume ikaxema....wa kuxoma alipteza uxhaid. Kwa maana iyo, angekja skul bla kuxhona skit, uxhaid ungdkuepo ivo, hatua ingexhkuliwa. Upo wang?
Nimekuelewa my.
 

Tchaaaaaa..........jomony......kaaa kmyaaaaa.....utavliwa nguo ukiendleaaa....Ipo list yteee wang.....alietajwa mara 60 had mar moja na wanfnx wa kke. Unayoyattea hayatetehek.....love you mwaa
 
I bet huyo bwege ni mwalimu tena wa hapohapo Butimba.

Na xaxa alielike komenti ako ananitaffftaaaaaa....tang ijmaaa had leoooo....khaaaaa.....mbaba weee....fany yako....mungu hapiganiwi anajipigania.....pambnaa labda mkulu atakupa kifta jash....mwah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…