Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Hata kama ni uongo, % kubwa kuna ukweli.
Wilayan wanajua ni ukwel aslmia xteeeeee....walim wenxang wanajua ni ukwl axlmia xteeeee....xema si walim wteee weny tabia hziiii...wapmbav wachach ambao wanarusha matux kwa sredi hii...mkipon hpa....kaxchnjen na katambken kwennnn.....
 
Mashuleni huko ukikatana na madam mwenye stress za mapenzi afu umeingia kwenye mtego wa wanafunzi hua anafurahia, anataman hata ufungwe kabisa
 
Wilayan wanajua ni ukwel aslmia xteeeeee....walim wenxang wanajua ni ukwl axlmia xteeeee....xema si walim wteee weny tabia hziiii...wapmbav wachach ambao wanarusha matux kwa sredi hii...mkipon hpa....kaxchnjen na katambken kwennnn.....
UNAWEZA UKAWA NA HOJA, ILA;

Kwa mwandiko huu wewe ni demu kicheche wa maeneo ya Chrismas Tree Hotel, Rehema ya Mungu na Mtera Lodge/hotel karibu na Royal Pub, Clevaland bar au pale Kahungwa gesti.

Facebook na instagram ndio mahali pake kwa mwandiko huu.
 
Tumeshakujua
 
Walimu wa history ni waongo sana
 
Watu wa aina yenu ndiyo mnao sababidha maelfu ya walimu nchini kudharauliwa. Mwanzoni nilifikiri wewe ni mwalimu wa kike! Ila mwishoni nikagundua utakuwa na jinsia ya kiume, ila una tabia zote za kike.

Kiufupi tu wewe ni snitch! Na kama una ujasiri, na akili timamu; basi mshauri haraka huyo mkuu wako wa shule kuiboresha hiyo maabara yenu ili isiwe kichaka cha hao walimu kutengeneza mazingira ya ukaribu na baadhi ya wanafunzi wa jinsia ya kike.
 
Acheni mawazo ya kijinga wadau, haya mambo yapo sana sema hamna watoto wa kike na hata kama mnao hamjawahi kupatwa na dhahama za kutendwa kwa vijana wenu.

Mtoa mada awe mwalimu, mzazi au vyovyote vile amefanya jambo zuri maana kuna wazazi mna tabia za kishenzi sana, mkipewa 10,000 mnasawazisha kesi ilihali binti amepata jeraha la kudumu.

Shwain...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kheeeeeeeh alimeza condom? Afu ikawaje? [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
kama mtoto wa Rais analiwa na Askari anayemlinda Rais.... sembuse mwalimu na mwanafnzi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…