Hivi kufundisha nako ni kazi ngumu hadi mfikie hatua ya kutuandikia mabango marefu mkaweka na majjna yenu?
Mm nafyatua tofali 700 kwa siku peke yangu silalamiki. Ninyi watu 6 kuongea na watu 700 (wastani wa watu 100 kwa kila mtu) mnalalamika??
Hivi wewe mwalimu mleta mada na Ndugai nani msomi zaidi? Maana Ndugai alipendekeza muwe mnafundisha masomo hata 5.
Mm nafyatua tofali 700 kwa siku peke yangu silalamiki. Ninyi watu 6 kuongea na watu 700 (wastani wa watu 100 kwa kila mtu) mnalalamika??
Hivi wewe mwalimu mleta mada na Ndugai nani msomi zaidi? Maana Ndugai alipendekeza muwe mnafundisha masomo hata 5.