Nimemuelewa vizuri lakini uhaba upo sehemu nyingi Sana serikalini Kuna vijiji ,kata hazina watendaji, kuna zahanati hazina manurse ,daktari n.k kwaio kuja na hoja za uhaba wa shule kila siku ndo napoona graduates waliosoma ualimu Ni watu waohisi Wana haki Sana ya kuajiriwa serikali kuliko watu wa kada zingine.