Tupo wengi tu tuna nyumba na magari ya kutembelea ila mapesa mengi bank ndio hatuna ila za kubadilisha mboga trh 1 mpaka 30 sio shida,mpwayungu alitumbuliwa ndio maana ana hasira.Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Yupo Mwanza anasahihisha Mitihani ya Mock!mpwayungu njoo uku
Ila ww muongo na hujui kudanganya yaani uwe na mil 100 bank halaf gari ya kutembelea noah kweli! Na aliekwambia noah ni gari ya kutembelea ni nani ! Hiyo ni gari ya kubebea maiti na madumu ya maji tuJapo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kuna viashiria vya uhalifu hapa... mwalimu umiliki 100m benki?Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Umetoa fungu la kumi mwalimu 10%Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Tuliza mshonoLabda kama za kuuza mashamba ya urithi.
Sio kujipanga tu mkuu,nakubarikiwa nako kupo wengi hujipanga lkn,hola...kuna mengi in between hapo all the way to success kuna majanga huingilia katikati mwa safari huathiri sana njia iendayo ktk mafanikio.kuna favour pia(neema)kati ya kumi dili linakudondokea ww,wenzio wenye the same qualifications wanakosa unapenya ww..huko mbeleni utasema ulitumia akili pengine kupata tenda flani akaachwa flani..kumbe nineema ilikudondokea tu.Mimi ninachofahamu, maisha hayana formula. Unaweza ukawa Mbunge, na bado ukaja kuwa Lofa tu hapo baadaye. Na unaweza kuwa mwalimu, au mtu yeyote yule! na ukakutoboa pia.
Ni kujipanga tu.
Homgera mwl [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Hata wanaoitwa profesa, ni waalimu.Hata Wahadhiri nao ni walimu. Tusikatae.
Ungelifikiria swali langu ungepata faida kubwa sana kuliko kukurupuka na kuanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.Kaimbe kaswida sw
School bus! Uniform ya wakinga.