Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Utani huu!๐๐๐๐Mwalimu anaweza kutoboa sikio tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utani huu!๐๐๐๐Mwalimu anaweza kutoboa sikio tu.
Kazi kazi. Kila siku (Kwa miaka 11 Sasa) saa 9 usiku nimeshaamka naandaa vitafunwa vya mgahawani. Wewe umelala tu kusubiria mshahara. Halafu unataka tufanane. Mkiambiwa ukweli mnanunaUtani huu!๐๐๐๐
Ngoja afike gogoz Mpwayungu atoe wosia.Kazi kazi
Kauli ya kazi kipimo cha utu ni ya JK Nyerere. Ama sijaelewa hiyo nukuu yako yako hapo chini.Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Walimu bhana so what ikiwa ya Nyerere?Kauli ya kazi kipimo cha utu ni ya JK Nyerere. Ama sijaelewa hiyo nukuu yako yako hapo chini.
Umeiuza kwa bei rahisi.Walimu bhana so what ikiwa ya Nyerere?
We endelea kupiga chaki bila malengoUmeiuza kwa bei rahisi.
Mimi nina genge langu la kuuza mazagazaga.Shule nililala mbele.Niulize bei ya chumvi na karoti.We endelea kupiga chaki bila malengo
I wanted to make it clearer to you. At least we could have a true information from your louse narrative. Bye Felicia.Walimu bhana so what ikiwa ya Nyerere?
ndio hapa huwa mnatuchanganya walimu , umaskini wenu umeanzia kwenye akili , kumiliki nyumba na gari ni kutoboa maisha hapa akili imekwama mazim ,mimi ni mwalimu kama wewe namiliki nyumba , gari ya kutembelea na camter, scaniA , nina mashamba na mifugo, nina store zambia lakin bado sana na kumbuka hivi vitu sijapata kupitia ualimuTupo wengi tu tuna nyumba na magari ya kutembelea ila mapesa mengi bank ndio hatuna ila za kubadilisha mboga trh 1 mpaka 30 sio shida,mpwayungu alitumbuliwa ndio maana ana hasira.
Kuwa na pisi kali la kiarabu kama wewe. Bwana yesu asisifiwe."kutoboa kimaisha" ndiyo nini maana yake?
Tuliza mshono
Ili iweje? Nikitafuta nn Kwa watu wasio hata na balance ya laki 5 Benki? Punguza chuki. Laumu kwenuWewe ndiyo ungekuwa wa kwanza kutuliza mshono.
Unakuja hapa na porojo zako unafikiri JF kuna vichwa panzi wa ku-buy your BS.
-Weka Statement hapa uliyochukua leo kwenye ATM ikionyesha Balance ya zaidi ya m100 ,hide Personal details tuonyeshe salio tu...hizo za nyumba tukisema uweke itaonyesha identity yako au wenye nyumba zao watakujia juu kwa kupiga picha nyumba zao na kuziweka mitandaoni.
Ili iweje? Nikitafuta nn Kwa watu wasio hata na balance ya laki 5 Benki? Punguza chuki. Laumu kwenu
Mkuu mada inahusu walimu mm sio mwalimuMpwayungu Village acha ulevi ona wenzako wanatoboa