Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Binafsi naona kazi ya ualimu,walimu wenyewe inabidi watumie nguvu kubwa kuhakikisha wanaotoboa tena sio kwa kutegemea mshahara labda wawe ni wako international skulz.
Mwalimu kutoboa inabidi awe na kakazi ka pembeni kanakomboost.
We nae mbona unanuna bila sababu? Mtu pesa zake wewe unataka ushahidi upeleke Kwa Headmaster?
Liongo tu hili mkuu
Kama kweli wewe ni mwalimu wa serikali na huna mume/mke au mtu wa kukulea na una zaidi ya 100M kwenye akaunti yako ya benki.
Naomba bank statement nikupongeze kwa 5M cash.
Na pia naomba financial report yako toka auditor otherwise ni chai kavu.
Kikuyu huko ni uswahiriniJapo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Mwalimu mjasiriamali wa mfanoJapo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha kupitia biashara ndogo ndogo ikiwemo kuuza vitafunwa katika migahawa minne karibu na shuleni kwangu hapa jijini Dodoma
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Hakuna aliyetoboa kimaisha harafu akawa anatumia zaidi ya masaa 45 kwa wiki zima kwenye kazi ambayo kipato chake hakifiki milion Moja kwa mweziJapo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha kupitia biashara ndogo ndogo ikiwemo kuuza vitafunwa katika migahawa minne karibu na shuleni kwangu hapa jijini Dodoma
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Wewe unatembelea gari gani?
Ha ha haWewe unatembelea gari gani?
Janeth magufuli ameshiriki siasa ipi? Kuwa mke wa mwanasiasa haikufanyi uwe mwanasiasa1. Majaliwa
2. Dotto Biteko
3. JPM
4. Jenister Muhagama
5. Salma Kikwete
6. Janeth Magufuli
7. JKN
8. Ally Mwinyi
Hiyo ni list ya walimu waliotupa chaki na siasa ikawatoa
Upo sahihi ila sasa hivi analipwa mafao ya siasa.Janeth magufuli ameshiriki siasa ipi? Kuwa mke wa mwanasiasa haikufanyi uwe mwanasiasa