Walimu wa Shule ya Sekondari Ilala, kwanini mnauza notes kwa wanafunzi?

Walimu wa Shule ya Sekondari Ilala, kwanini mnauza notes kwa wanafunzi?

Tusitetee Ujinga..., Issue sio gharama ni kiasi gani bali issue ni contract before hand...

Kama mtu anakwenda Tuition hata akilipia milioni moja ni sawa sababu amenunua kile kitu kwa mapatano husika..., Mwalimu kufundisha darasani tayari ni complete contract kwamba anatoa na ujuzi sio kuanza kutoa kwa mafungu..., kama ni sawa kutoa Notes kwa Tshs. 200/= kwanini isiwe sawa kila extra swali analotoa au kusahihisha au kila akiulizwa swali akijibu asitoze Sumni ?

Kama hio tshs 200 ni gharama ya copy ni sawa ila atoe option ya ambao hawatoi hio pesa waweze kupata hizo notes ili wanakili wanavyotaka..., Hatuwezi kujipangia vitu nje ya Mkataba...

Lets be serious, Sikatai mtu kuziuza kwa wanafunzi baki au wa nje ila sio kwa wale ambao yupo contracted kuwafundisha.., na kama vipi itolewe option kwamba notes ni ziada ila sio zile core materials
 
Walimu wa Biology na Chemistry wa Shule ya sekondari ya Ilala, kwanini mnawauzia wanafunzi notes badala ya kuwapa bure?

Wenyewe mnaita vitini mnauza Tsh. 200/= kwa 500/=, nyie mnatutia hasara wazazi kulipia kitu ambachoo mlitakiwa kuwapa bure na ni wajibu wenu kukuandika notes ubaoni ili wanafunzi wanakili.
Kuandika notes ni Mambo ya kizamani sana,siku hizi watu wanasoma na kufundishwa kidigitali!!
 
We unahisi wanakosea?

Notes wanazowapa watoto wetu huwa ni fadhira tu lakin huwa hawaruhusiwi kutoa kitu kinaitwa notes yeye Kaz yake ni kumpa mwanafunz 25% tu hio 75% iliyobaki mwanafunz aende akapambane mwenyewe kuitafta.
Sasa huruma yao isitufanye wazazi kubweteka tukahis ni wajibu wa mwalimu kumpa notes mwanafunzi. Chukua hivyo vitini linganisha na vitabu ambavyo serikali imewapa hao wanafunzi uangalie yupi kafafanua vizuri zaid alaf ufanye maamuzi mwenyewe
 
Wanafunzi wa siku hizi wamekuwa delicate sana, mtoto anaenda twisheni mpaka ya history?

Hawatoroki shule kama zamani, yaani wamekuwa walaini sana.
🤣🤣🤣🤣🤣😂 tuition ya history!!? Ili agundue nn sasa hapo?
 
🤣🤣🤣🤣🤣😂 tuition ya history!!? Ili agundue nn sasa hapo?
Weeee Tena proudly nilifundishwa na mama Mchwampaka,yaani ukiingia kwenye Necta maswali yote unayajua unajiuliza aaah sa nifanye lipi Hapa😂😂😂😂
 
Acheni malalamiko sasa hawa walimu watapata wapi ela hata ya kununua kiwi wawe smart?
 
We unahisi wanakosea?

Notes wanazowapa watoto wetu huwa ni fadhira tu lakin huwa hawaruhusiwi kutoa kitu kinaitwa notes yeye Kaz yake ni kumpa mwanafunz 25% tu hio 75% iliyobaki mwanafunz aende akapambane mwenyewe kuitafta.
Sasa huruma yao isitufanye wazazi kubweteka tukahis ni wajibu wa mwalimu kumpa notes mwanafunzi. Chukua hivyo vitini linganisha na vitabu ambavyo serikali imewapa hao wanafunzi uangalie yupi kafafanua vizuri zaid alaf ufanye maamuzi mwenyewe
Unaongelea Chuo Kikuu au ?

Ndio maana ualimu ukaitwa WITO lakini siku hizi imekuwa ajira na watu kutokwenda extra mile yaani ni kutimiza the bare minimum Mwalimu mzuri ni kuhakikisha anatumia nguvu zake zote ili mwanafunzi aelewe sababu kumtoa mtu from Un-knowledgeable to knowledgeable ni zawadi tosha...

Don't get me wrong kama mwalimu ni gari basi mwanafunzi ni dereva..., anapewa nyenzo yeye ndio aendeshe..., kwahio sisemi mwalimu aingie gharama ya kutoa copies kwa mshahara wake kiduchu kuliko wazazi kuchangia kidogo kidogo ili safari iwe rahisi..., ila ninachopinga ni kuleta ujanja ujanja au kutumia loopholes ya kutoa knowledge kwenye piece meals ili mradi tu ku-make an extra buck..., kwahio kuwe na option kama kuna extra notes za ziada ambazo mwalimu anagharamika basi sio mbaya watu kuchangia, lakini sio kile ambacho kipo kwenye part ya mafundisho nacho kianze kutafutiwa fursa (na kama vipi awape watu choice, ya kupewa notes wa-copy; kutoa copies wenyewe au vyovyote vile)
 
Kuna shule nyingine inaitwa MAJANI YA CHAI AIRPORT DAR walimu wa pale wanatabia yakuwalazimisha wanafunzi waende na 500 kila weekend ili wapewe notes ambazo mwalimu hatozifundisha darasani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanafunzi wa siku hizi wamekuwa delicate sana, mtoto anaenda twisheni mpaka ya history?

Hawatoroki shule kama zamani, yaani wamekuwa walaini sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weeee Tena proudly nilifundishwa na mama Mchwampaka,yaani ukiingia kwenye Necta maswali yote unayajua unajiuliza aaah sa nifanye lipi Hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walimu wa Biology na Chemistry wa Shule ya sekondari ya Ilala, kwanini mnawauzia wanafunzi notes badala ya kuwapa bure?

Wenyewe mnaita vitini mnauza Tsh. 200/= kwa 500/=, nyie mnatutia hasara wazazi kulipia kitu ambachoo mlitakiwa kuwapa bure na ni wajibu wenu kukuandika notes ubaoni ili wanafunzi wanakili.
urefu wa kamba ndugu.. !!
 
Tusitetee Ujinga..., Issue sio gharama ni kiasi gani issue ni contract before hand...

Kama mtu anakwenda Tuition hata akilipia milioni moja ni sawa sababu amenunua kile kitu kwa mapatano husika..., Mwalimu kufundisha darasani tayari ni complete contract kwamba anatoa na ujuzi sio kuanza kutoa kwa mafungu..., kama ni sawa kutoa Notes kwa Tshs. 200/= kwanini isiwe sawa kila extra swali analotoa au kusahihisha au kila akiulizwa swali akijibu asitoze Sumni ?

Kama hio tshs 200 ni gharama ya copy ni sawa ila atoe option ya ambao hawatoi hio pesa waweze kupata hizo notes ili wanakili wanavyotaka..., Hatuwezi kujipangia vitu nje ya Mkataba...

Lets be serious, Sikatai mtu kuziuza kwa wanafunzi baki au wa nje ila sio kwa wale ambao yupo contracted kuwafundisha.., na kama vipi itolewe option kwamba notes ni ziada ila sio zile core materials
Mkuu umeongea jambo serious sana ila humu wengi wanaongozwa na mihemko tu.

Elimu inatolewa bure halafu mwalimu huyo huyo anawauzia notes wanafunzi wake.

Shida sio udogo ama ukubwa wa mia mbili bali utaratibu ufuatwe awafundishe watoto kwa mujibu wa mkataba wake na serikali (mwajiri)

Hawa wanaosema mia mbili kitu gani ndo hao hao wanaolalamika wafanyabiashara kujipangia bei za bidhaa pasipo utaratibu wa mamlaka husika.

Kwamba kwao walimu kujipangia gharama zisizo halali kwa wanafunzi ni sawa ila mwingine kujipangia gharama ya bidhaa zake nongwa kwa serikali.
 
Walimu wa Biology na Chemistry wa Shule ya sekondari ya Ilala, kwanini mnawauzia wanafunzi notes badala ya kuwapa bure?

Wenyewe mnaita vitini mnauza Tsh. 200/= kwa 500/=, nyie mnatutia hasara wazazi kulipia kitu ambachoo mlitakiwa kuwapa bure na ni wajibu wenu kukuandika notes ubaoni ili wanafunzi wanakili.
Elimu gharama mtunze mtoto wako
Ngapiumeonga na husemi
 
Back
Top Bottom