Walimu wa Shule ya Sekondari Ilala, kwanini mnauza notes kwa wanafunzi?

Walimu wa Shule ya Sekondari Ilala, kwanini mnauza notes kwa wanafunzi?

Tusitetee Ujinga..., Issue sio gharama ni kiasi gani bali issue ni contract before hand...

Kama mtu anakwenda Tuition hata akilipia milioni moja ni sawa sababu amenunua kile kitu kwa mapatano husika..., Mwalimu kufundisha darasani tayari ni complete contract kwamba anatoa na ujuzi sio kuanza kutoa kwa mafungu..., kama ni sawa kutoa Notes kwa Tshs. 200/= kwanini isiwe sawa kila extra swali analotoa au kusahihisha au kila akiulizwa swali akijibu asitoze Sumni ?

Kama hio tshs 200 ni gharama ya copy ni sawa ila atoe option ya ambao hawatoi hio pesa waweze kupata hizo notes ili wanakili wanavyotaka..., Hatuwezi kujipangia vitu nje ya Mkataba...

Lets be serious, Sikatai mtu kuziuza kwa wanafunzi baki au wa nje ila sio kwa wale ambao yupo contracted kuwafundisha.., na kama vipi itolewe option kwamba notes ni ziada ila sio zile core materials
Wewe mtoto wa Kishua, umesoma Eagles
 
Ukiona ELIMU gharama
Jaribu Upumbav
No money No service
Elimu ya bure pekee ni maisha magumu baada ya kukimbia shule na huna plan B
 
Jukumu la msingi la mwalimu ni kufundisha sio kutoa notes. Katika ulimwengu wa sasa,Mwalimu anapaswa kuongoza mijadala darasani katika mchakato wa ujifunzaji na usundishaji na wanafunzi wajitengenezee notes zao wenyewe.
 
Weeee Tena proudly nilifundishwa na mama Mchwampaka,yaani ukiingia kwenye Necta maswali yote unayajua unajiuliza aaah sa nifanye lipi Hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaonekana ni beuty with brain


Nikiwa mwalimu wa twishen nafarijika sana nikisoma hizi shuhuda za kufanikiwa za wanafunzi wetu warembo wapendwa
 
Walimu wa Biology na Chemistry wa Shule ya sekondari ya Ilala, kwanini mnawauzia wanafunzi notes badala ya kuwapa bure?

Wenyewe mnaita vitini mnauza Tsh. 200/= kwa 500/=, nyie mnatutia hasara wazazi kulipia kitu ambachoo mlitakiwa kuwapa bure na ni wajibu wenu kukuandika notes ubaoni ili wanafunzi wanakili.
Nadhan ulilenga kuwadhalilisha walimu, kwa taratibu za mwalimu hupaswi kumuandikia mwanafunzi notes ubaoni, kama unaijua lesson plan haina kipengere kinachomtaka mwalimu aandike notes na Wala hana muda uliopangwa kwenye kipindi kumuandikia mwanafunzi notes... Notes mwanafunzi anapaswa ajitafutie mwenyewe. Niwapongeze walimu wenzangu kwa kujari na kujitoa kuwarahisishia wanafunzi kupata notes... Big up and keep it up teachers [emoji176][emoji176][emoji176][emoji39][emoji39][emoji849]
 
Kama hutak si unaacha mzaz gan ww unalalamikia Tsh 200 shame on you kaa nae kwako Sasa mfundishe mwenyewe
Si ndio hapo sasa.... Kwani Nani kamlazimisha... Ikiwa unaona elimu ni ghali Basi jaribu ujinga... Si ajabu ukakuta mtoto wake anasoma elimu bure ndio maana kutoa 200 au 500 anaona tatizo
 
Usiwe mbishi kama hujui! Mfumo wa Elimu kwa sasa umebadilika kutoka content base (wa kumlisha mtoto kila kitu) na kuwa mfumo wa competence base! Mfumo huu wa sasa unamtaka mwanafunzi/wanafunzi kujitegemea zaidi kwa kutumia muda wake kwenye kujadili na wenzake, kujisomea, kuwasilisha mada mbalimbali zihusuzo mada wanazosoma, kuelewa zaidi kuliko kukariri, nk.
Kumpa mtoto notes ni kumlisha kila kitu ? Hata Havard kuna handouts, na mwalimu kutoa vitu ili watu wafanye review na kukumbishia key notes ije kuwa shule ya sekondari..., Unajua ukimwambia kila mtu afanye note taking mwenyewe huenda muda ukatumika kuandika wakati unafundisha kuliko hata kusikiliza...., na huo muda wa kufanya discussions na wenzake ambao na wenyewe huenda wametoka kapa si ndio kujazana ujinga...,

Kubadilisha mfumo au kubadilika kwa mfumo hakubadilishi nyenzo za kufundishia, na notes pia ni learning tool ambayo ni core wala sio extra
Siku hizi Mwalimu hatakiwi kufundisha muda wote awapo darasani na kutoa hizo notes! Badala yake anatakiwa kuwa muongozaji tu wa mijadala ya mada kutoka kwa wanafunzi. Anatakiwa kuwaweka wanafunzi katika makundi, wanajadili na mwisho wanawasilisha huo mjadala, kwisha!
Kipindi cha dakika ngapi ? kwahio mwaka mzima ni mwenzo wa kufanya discussions ? kitu ambacho unashindwa kuelewa hizo notes ni part ya kufundisha wala sio the only tool, kwahio pamoja na yote hayo inabidi as a conclusion atoe muongozo wake na sio watu kujadiliana kumbuka hapa kuna masomo sio subjective...

Kumbuka mwalimu anatakiwa kutumia all tools at his/her disposal ili mwanafunzi aelewe (visual, auditory, and kinesthetic)
Ukiona mwalimu anawapa watoto notes unatakiwa kimshukuru! Maana anawasaidia wale watoto vilaza/slow learners! Na siyo jukumu lake kumpa mtoto notes. Hilo ni jukumu la mtoto mwenyewe kujiandalia notes zake.
Kama mwalimu kazi yake sio kufundisha vilaza / slow learners basi yupo kwenye wrong profession and so called usasa au mfumo mpya ni kupiga hatua nyuma wala sio maendeleo
 
Wazazi tumefika huku??? MnalalamiKa 200 kweli???? We unafikiri kuandika ubaoni ni kazi ndogo??? Hujapata tb kwa lile vumbi la chaki.??? Kuweni na huruma basi nA walimu nyie wazazi wa mchongo.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Kumpa mtoto notes ni kumlisha kila kitu ? Hata Havard kuna handouts, na mwalimu kutoa vitu ili watu wafanye review na kukumbishia key notes ije kuwa shule ya sekondari..., Unajua ukimwambia kila mtu afanye note taking mwenyewe huenda muda ukatumika kuandika wakati unafundisha kuliko hata kusikiliza...., na huo muda wa kufanya discussions na wenzake ambao na wenyewe huenda wametoka kapa si ndio kujazana ujinga...,

Kubadilisha mfumo au kubadilika kwa mfumo hakubadilishi nyenzo za kufundishia, na notes pia ni learning tool ambayo ni core wala sio extra

Kipindi cha dakika ngapi ? kwahio mwaka mzima ni mwenzo wa kufanya discussions ? kitu ambacho unashindwa kuelewa hizo notes ni part ya kufundisha wala sio the only tool, kwahio pamoja na yote hayo inabidi as a conclusion atoe muongozo wake na sio watu kujadiliana kumbuka hapa kuna masomo sio subjective...

Kumbuka mwalimu anatakiwa kutumia all tools at his/her disposal ili mwanafunzi aelewe (visual, auditory, and kinesthetic)

Kama mwalimu kazi yake sio kufundisha vilaza / slow learners basi yupo kwenye wrong profession and so called usasa au mfumo mpya ni kupiga hatua nyuma wala sio maendeleo
Huo ndiyo mfumo wa elimu kwa sasa. Yale mambo ya kumjazia mwanafunzi a notes ya kukariri, haupo tena. Ukiona mwalimu anatoa mpaka notes kupitia vitini, anatakiwa kupongezwa na kutiwa moyo. Maana huo utaratibu kwa sasa haupo.

Yeye kama yeye anaruhusiwa kuwa na notes zake, ambazo atazitumia kwenye kuhitimisha tu mada husika na iliyo jadiliwa na wanafunzi darasani.
 
Huo ndiyo mfumo wa elimu kwa sasa. Yale mambo ya kumjazia mwanafunzi a notes ya kukariri, haupo tena. Ukiona mwalimu anatoa mpaka notes kupitia vitini, anatakiwa kupongezwa na kutiwa moyo. Maana huo utaratibu kwa sasa haupo.

Yeye kama yeye anaruhusiwa kuwa na notes zake, ambazo atazitumia kwenye kuhitimisha tu mada husika na iliyo jadiliwa na wanafunzi darasani.
Na hadi yeye akatoa hizo notes kwa kuuza ni kwamba kaona kuna upungufu wa kile alichotoa (hio ziada inatakiwa) sasa swali linakuja hio ziada iwe monitized au hata kwa yule ambaye ataomba ile ziada aandike apewe anakili ? (Yaani kama ziada inatoka at no extra monetary cost on his part), kwa mimi mteja wake ambaye nahitaji anipe his all (kunipa part of the whole) huoni inaacha mwanya wa corruption...

Yaani namwaga utilio alafu nasema ziada kanunue kitabu changu some page ya kumi na mbili..., Au kushinda paper yangu soma page ya tano... (Huku ni Kutoa Ujuzi kwa Mafungu)
 
Na hadi yeye akatoa hizo notes kwa kuuza ni kwamba kaona kuna upungufu wa kile alichotoa (hio ziada inatakiwa) sasa swali linakuja hio ziada iwe monitized au hata kwa yule ambaye ataomba ile ziada aandike apewe anakili ? (Yaani kama ziada inatoka at no extra monetary cost on his part), kwa mimi mteja wake ambaye nahitaji anipe his all (kunipa part of the whole) huoni inaacha mwanya wa corruption...

Yaani namwaga utilio alafu nasema ziada kanunue kitabu changu some page ya kumi na mbili..., Au kushinda paper yangu soma page ya tano... (Huku ni Kutoa Ujuzi kwa Mafungu)
Kusoma articles, unaambiwa imetoka jana itafute
 
Usiwe mbishi kama hujui! Mfumo wa Elimu kwa sasa umebadilika kutoka content base (wa kumlisha mtoto kila kitu) na kuwa mfumo wa competence base! Mfumo huu wa sasa unamtaka mwanafunzi/wanafunzi kujitegemea zaidi kwa kutumia muda wake kwenye kujadili na wenzake, kujisomea, kuwasilisha mada mbalimbali zihusuzo mada wanazosoma, kuelewa zaidi kuliko kukariri, nk.

Siku hizi Mwalimu hatakiwi kufundisha muda wote awapo darasani na kutoa hizo notes! Badala yake anatakiwa kuwa muongozaji tu wa mijadala ya mada kutoka kwa wanafunzi. Anatakiwa kuwaweka wanafunzi katika makundi, wanajadili na mwisho wanawasilisha huo mjadala, kwisha!

Ukiona mwalimu anawapa watoto notes unatakiwa kimshukuru! Maana anawasaidia wale watoto vilaza/slow learners! Na siyo jukumu lake kumpa mtoto notes. Hilo ni jukumu la mtoto mwenyewe kujiandalia notes zake.
wengi hawajui ilo wanazania mwalimu anatakiwa kutoa notes Kwa wanafunzi wake.
 
Mzazi gani wewe wa ajabu hivi. Bure itawauwa nyinyi
 
Nisivyopenda andika enzi hizo za JK wangeanza uza ningenunua bila kupepesa macho
 
Usiwe mbishi kama hujui! Mfumo wa Elimu kwa sasa umebadilika kutoka content base (wa kumlisha mtoto kila kitu) na kuwa mfumo wa competence base! Mfumo huu wa sasa unamtaka mwanafunzi/wanafunzi kujitegemea zaidi kwa kutumia muda wake kwenye kujadili na wenzake, kujisomea, kuwasilisha mada mbalimbali zihusuzo mada wanazosoma, kuelewa zaidi kuliko kukariri, nk.

Siku hizi Mwalimu hatakiwi kufundisha muda wote awapo darasani na kutoa hizo notes! Badala yake anatakiwa kuwa muongozaji tu wa mijadala ya mada kutoka kwa wanafunzi. Anatakiwa kuwaweka wanafunzi katika makundi, wanajadili na mwisho wanawasilisha huo mjadala, kwisha!

Ukiona mwalimu anawapa watoto notes unatakiwa kimshukuru! Maana anawasaidia wale watoto vilaza/slow learners! Na siyo jukumu lake kumpa mtoto notes. Hilo ni jukumu la mtoto mwenyewe kujiandalia notes zake.
Kwa wanafunzi wetu huu mfumo hauwafai maana tutazalisha vilaza waliofaulu
 
Back
Top Bottom