Sasa watunga sera wako ndiyo wamepitisha hiyo sera. Tena ni watu wenye Ma PhD yao! Na mbaya zaidi watoto wao wanasoma kwenye shule binafsi kama FEZA zenye kila kitu!Kwa wanafunzi wetu huu mfumo hauwafai maana tutazalisha vilaza waliofaulu
Kimsingi mwalimu anatakiwa atoe option! Mwenye uwezo wa kununua, anunue ili kuokoa muda wa kuandika. Asiye na uwezo aandike.Na hadi yeye akatoa hizo notes kwa kuuza ni kwamba kaona kuna upungufu wa kile alichotoa (hio ziada inatakiwa) sasa swali linakuja hio ziada iwe monitized au hata kwa yule ambaye ataomba ile ziada aandike apewe anakili ? (Yaani kama ziada inatoka at no extra monetary cost on his part), kwa mimi mteja wake ambaye nahitaji anipe his all (kunipa part of the whole) huoni inaacha mwanya wa corruption...
Yaani namwaga utilio alafu nasema ziada kanunue kitabu changu some page ya kumi na mbili..., Au kushinda paper yangu soma page ya tano... (Huku ni Kutoa Ujuzi kwa Mafungu)
Ubao ni wa kufundishia ni kama rough paper tu sio wa kuandikia notes..mwalimu una dk 45 mpaka 90 tu z kufundisha darasani muda wa kuaaandikia notes ukowapi...hiyo 200 inakushinda niniWalimu wa Biology na Chemistry wa Shule ya sekondari ya Ilala, kwanini mnawauzia wanafunzi notes badala ya kuwapa bure?
Wenyewe mnaita vitini mnauza Tsh. 200/= kwa 500/=, nyie mnatutia hasara wazazi kulipia kitu ambachoo mlitakiwa kuwapa bure na ni wajibu wenu kukuandika notes ubaoni ili wanafunzi wanakili.
Mungu awabariki Sana!mlitutoa kimasomaso,hakika mlituheshimisha..... Ustaadhi wa Chang'ombe makaburini daaahUnaonekana ni beuty with brain
Nikiwa mwalimu wa twishen nafarijika sana nikisoma hizi shuhuda za kufanikiwa za wanafunzi wetu warembo wapendwa
Na tatizo ka dunia ya sasa reward ni monetary..., zamani mwalimu akiona mtoto alikuja kilaza akamsaidia hata kuondoka na wastani wa average yaani anajisikia Job well Done..., kwahio unakuta anatumia kila mbinu ili kumvuta mwanafunzi na kumfanya apende kusoma...Kimsingi mwalimu anatakiwa atoe option! Mwenye uwezo wa kununua, anunue ili kuokoa muda wa kuandika. Asiye na uwezo aandike.
Iwapo atalazimisha wote kununua! Tena kwa adhabu au vitisho kwa wale ambao hawana hiyo hela, hapo inakuwa ni tatizo. Busara ndiyo kila kitu kati ya mwalimu, mwanafunzi na mzazi.
Muwe mnatukumbukaga basi hata kututembelea kinafki hata sie tuna mioyoMungu awabariki Sana!mlitutoa kimasomaso,hakika mlituheshimisha..... Ustaadhi wa Chang'ombe makaburini daaah
Sawa mwalimu,ngoja tutafute hata ya soda hatuwezi kuja mikono mitupuMuwe mnatukumbukaga basi hata kututembelea kinafki hata sie tuna mioyo
Na nyie zitengenezeni muwagawie watoto wenu. Notes sio kazi ya mwalimu. Kazi ya mwalimu kufundisha. Mwanafunzi amsikilize mwalimu na ajiandikie notes. Wale wavivu hawana namna wajinunulie tu!Walimu wa Biology na Chemistry wa Shule ya sekondari ya Ilala, kwanini mnawauzia wanafunzi notes badala ya kuwapa bure?
Wenyewe mnaita vitini mnauza Tsh. 200/= kwa 500/=, nyie mnatutia hasara wazazi kulipia kitu ambachoo mlitakiwa kuwapa bure na ni wajibu wenu kukuandika notes ubaoni ili wanafunzi wanakili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa history ni ngumu,Mlongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tuition ya history bwana