The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Dada Jinga hili.Hizo ni fijra zako potofu tu.
Usifanye wakapewa "passive dose".
Umesahau mgomo wa dakatari ulimalizwa vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada Jinga hili.Hizo ni fijra zako potofu tu.
Usifanye wakapewa "passive dose".
Umesahau mgomo wa dakatari ulimalizwa vipi?
Lilishalipuka kitambo mbona? Ndo maana watu wanaambulia kuwa na vyetu tu lakini maarifa hakuna! Mtu ana degree au masters au PhD lakini hajielewi kila siku kutembeza bahasha ya kusaka ajiraHili bomu lita kuja kulipuka in some few years to come.
Fikra potofu?,fanya uchunguzi ujioneeHizo ni fijra zako potofu tu.
Usifanye wakapewa "passive dose".
Umesahau mgomo wa dakatari ulimalizwa vipi?
Wazifuata hela huko huko ziliko wamechoka kusemwa kuwa wao ni kundi masikini zaidi nchini.Wamehamia kwenye SIASA, nimesikitika kuona kikundi cha Walimu wanasiasa wa CCM.... niliumia Sana
Hebu fanya urekebishe basi hiki ulichokiandika hapa. Isije ikawa na wewe kumbe ulienda shule kusomea ujinga. ....fijira! ...dakatari!! Ndiyo utopolo gani huu!! 😁Hizo ni fijra zako potofu tu.
Usifanye wakapewa "passive dose".
Umesahau mgomo wa dakatari ulimalizwa vipi?
ni walimu wachache sana waajiriwa wenye Nia ya kufundisha tuition kwa Karne hii,wengi wamejikita kwenye biashara vyao tu sio kama zamaniTuition zilipigwa Marufuku na serikali, siyo kwamba walimu hawataki kufundisha muda wa ziada.
Kama madaktari wanaenda private baada ya kutoka hospitali za serikali unadhani walimu wasingependa kufundisha tuition baada ya muda wa kazi za serikali au siku za mapumziko kama jumamosi na jumapili?
Wanapenda lakini katazo la serikali yao ambaye ndiye muajiri wao.
wanavyufundisha na mitihani nayo inakuja hivyohivyoLakini ufaulu unaongezeka kila matokeo ya NECTA yakitangazwa, walimu wanapiga kazi wala hawajagoma
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Hali ni mbaya sana,Kuna mtoto unamfundisha unaamini necta hatoboi,cha kushangaza matokeo yakija ana division 1,usahishaji wa mitihani nao Kuna changamoto,kiifupi elimu imeingiliwa,tusifurahie matokeo kwani hayaakisi uwezo wa mtoto,kiufupi Gori limetanuliwa Kila mtu afunge
Ufauru wa division four ndo unaongelea au unaongelea ufaulu upiLakini ufaulu unaongezeka kila matokeo ya NECTA yakitangazwa, walimu wanapiga kazi wala hawajagoma
There is problem som where .... InLakini ufaulu unaongezeka kila matokeo ya NECTA yakitangazwa, walimu wanapiga kazi wala hawajagoma
"Za kuambiwa changanya na za kwako'Lakini ufaulu unaongezeka kila matokeo ya NECTA yakitangazwa, walimu wanapiga kazi wala hawajagoma
Unaishi wapi ndugu, sasa hivi walimu wame-advance, tuition zinafundishiwa shuleni na walimu husika, Mimi nina mtoto anasoma Nyampulukano secondary Sengerema, kidato cha pili, darasani wako 600+, wametakiwa wote kusoma wiki 3 kwa malipo ya 5,000/= hapo hujaweka wa kidato cha 4 ambao ni 400+, Nina mtoto darasa la 5, hapa hapa Sengerema hizo wiki 3 nimelipa elfu 10,000/=, Sengerema karibu shule zote mwendo ni huo, wengine wanashughulika na madarasa ya mitihani wengine hadi chekechea, hivyo ni namna ya kuoperate hizo tuition ndiyo kumebadilika.Tuition zilipigwa Marufuku na serikali, siyo kwamba walimu hawataki kufundisha muda wa ziada.
Kama madaktari wanaenda private baada ya kutoka hospitali za serikali unadhani walimu wasingependa kufundisha tuition baada ya muda wa kazi za serikali au siku za mapumziko kama jumamosi na jumapili?
Wanapenda lakini katazo la serikali yao ambaye ndiye muajiri wao.
Matokeo yawe mabaya wakati tunapokea pesa za wafadhili! Thubutu.Hali ni mbaya sana,Kuna mtoto unamfundisha unaamini necta hatoboi,cha kushangaza matokeo yakija ana division 1,usahishaji wa mitihani nao Kuna changamoto,kiifupi elimu imeingiliwa,tusifurahie matokeo kwani hayaakisi uwezo wa mtoto,kiufupi Gori limetanuliwa Kila mtu afunge
CCM wanapika takwimu ,angalia DPWORLDLakini ufaulu unaongezeka kila matokeo ya NECTA yakitangazwa, walimu wanapiga kazi wala hawajagoma
CCM wanapika takwimuHali ni mbaya sana,Kuna mtoto unamfundisha unaamini necta hatoboi,cha kushangaza matokeo yakija ana division 1,usahishaji wa mitihani nao Kuna changamoto,kiifupi elimu imeingiliwa,tusifurahie matokeo kwani hayaakisi uwezo wa mtoto,kiufupi Gori limetanuliwa Kila mtu afunge