Nyanswe Nsame
Senior Member
- Jul 9, 2019
- 165
- 181
Walimu Huwa hawana Akili timamu. Let them suffer.
Wewe ni lipumbavuWalimu Huwa hawana Akili timamu. Let them suffer.
Walimu wote wonaoshabikiaga CCM wakati wakampeni Poor tena poor kabisaWewe ni lipumbavu
Watu wanaumia,nchi imeyumba... Sikiliza vizuri huyo mwalimu alafu uache kujibu bila kuelewa.huwenda hawajaajiriwa na serikali, serikali haijashindwa kulipa mishahara mtia mada acha kukurupuka
Huwezi kunielewa. Kwa ufupi nchi hii imekwama Kwa sababu walimu ni wajinga na hawana uzalendo na taifa.Wewe ni lipumbavu
Wapi uliona ticha anapiga kazi zaidi ya umbea tu.Punguza mshahara wa mkurugenzi,mbunge,mkuu wa wilaya na mkoa ongeza kwa maticha wanapiga kazi sana hawa kuliko hao niliyotaja hapo juu.