DOKEZO Walimu Walala ofisi ya Mkurugenzi Buchosa Mwanza, wakishinikiza malipo

DOKEZO Walimu Walala ofisi ya Mkurugenzi Buchosa Mwanza, wakishinikiza malipo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
So kuharibu uchaguzi ni sehemu ya CIVICS ama? Kutopigania haki zao imeamuriwa kwenye civil rights ama? Wewe ni mwalimu?
Uchaguzi wanauharibu wapi wewe? Hayo majungu ya vijiweni achana nayo .

Kama wewe ni mgombea kwa ticket [emoji2428] ya chama chako tumia mvinu zote kura zitoshe , hakuna Mwalim atakae kunyanganya kura kama ambavyo sisipo tosha hakuna wa kukuongezea .
 
Walimu walishiriki Kwa asilimia 100 kuharibu uchaguzi mkuu 2020, walifanya jaribio hatari la kuhatarisha usalama wa nchi na watalipa Kwa upumbavu ule. Hakuna kumhurumia mwalimu wa nchi hii wote ni wehu na wanapenda kujifanya wajuaji kumbe wapuuzi tu.
 
Mtu wao waliomweka Kwa nguvu akafa kishamba kabisa. Laana Ile itawafata wote wao na familia zao ni suala la muda tu make karma itatenda wakati ukifika.
 
Walimu taifa hili halina muda wa kiwatetea labda wapumbavu wenzenu CWT ndiyo wapostieni huo upumbavu siye tuko busy na maisha endeleeni kutafuta pesa za marejesho wehu nyie. Na mkomeshwe kabisa.
 
Na hiyo michezo ya uchaguzi itakuja kuwatokea puani siku mkijaribu halafu kikanuka mtakuwa first taget. Pumbavuu nyie.
 
Sasa wewe unakuwaje na akili kama walimu wako walio kufundisha ni wajinga? Hakuna msomi awaye yeyote yule mwenye guts za kuweza kuita walimu wajinga halafu na yeye akawa sio mjinga na akajiita msomi na ameelimika.

Mara nyingi maneno ya namna hii utayapata kwa watu wasio na elimu kabisa wenye upeo mdogo na uwezo mdogo kabisa wa fikra ,maskini wa mali, afya na akili na wewe ukiwa mmoja wao.
Walimu wa Tanzania ni wajinga na huo ndiyo ukweli. Hakuna kitu wanaoweza na ukitaka kujua shiriki nao warsha au ishu yoyote ndiyo utanielewa. They behave very primitive.
 
Huu ni uonevu mkubwa,walimu wanashindwa kupewa kipaumbele na kuanza kulalamika hawajalipwa mishahara yao ya miezi miwili.

Taifa hili tunafika kubaya, nchi imeishiwa pesa hata ya kulipa mishahara walimu.

Hao katika video ni walimu wa shule za sekondari halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, ambao wameweka kambi nje ya ofisi ya Mkurugenzi wakishinikiza kulipwa mishahara yao.

View attachment 2383305
Nimetoa machozi aisee.

Magari ya milion 500 yananunuliwa kwa fujo.
Watu wanalipana maposho makubwa makubwa kwenda kukagua miradi midogo midogo.

Wabunge hawacheleweshewi mishahara ndo maana kutwa kugonga gonga meza huko Bungeni.

Tunahitaji ukombozi.

Tulipofikia kama nchi si pazuri.
 
Nimetoa machozi aisee.

Magari ya milion 500 yananunuliwa kwa fujo.
Watu wanalipana maposho makubwa makubwa kwenda kukagua miradi midogo midogo.

Wabunge hawacheleweshewi mishahara ndo maana kutwa kugonga gonga meza huko Bungeni.

Tunahitaji ukombozi.

Tulipofikia kama nchi si pazuri.
Walimu siyo wa kutetea acha wanyooshwe.
 
Nimetoa machozi aisee.

Magari ya milion 500 yananunuliwa kwa fujo.
Watu wanalipana maposho makubwa makubwa kwenda kukagua miradi midogo midogo.

Wabunge hawacheleweshewi mishahara ndo maana kutwa kugonga gonga meza huko Bungeni.

Tunahitaji ukombozi.

Tulipofikia kama nchi si pazuri.
Yaani ukombozi kisa walimu hawajalipwa mshahara.. Yaani kundi hili la walimu likombolewew na wananchi ambao walinyang'anywa haki ya kuchagua viongozi wao na haohao walimu Kwa kupewa posho ya 270000-320000 katika uchaguzi wa 2020?
 
Nimetoa machozi aisee.

Magari ya milion 500 yananunuliwa kwa fujo.
Watu wanalipana maposho makubwa makubwa kwenda kukagua miradi midogo midogo.

Wabunge hawacheleweshewi mishahara ndo maana kutwa kugonga gonga meza huko Bungeni.

Tunahitaji ukombozi.

Tulipofikia kama nchi si pazuri.
Simhurumii mwalimu kabisa.
Wanailinda ccm kwa posho ndogo ndogo waacheni
 
Walimu Huwa hawana Akili timamu. Let them suffer.
Kweli ila ndo wamekusaidia ukafikia hiyo sijui digrii mastaz i doubt ni diploma ila kama ni digrii komenti zako hazitofautiani na form 4 leaver wa div 0 sijui 5 tena yule aliyekuwa shule hapendiii.
Ni mwenyewe sijawahi penda shule na viboko vyake ila sijawahi kuwa na guts ya kumtukana mtu anayeitwa mwalimu
 
Yaani ukombozi kisa walimu hawajalipwa mshahara.. Yaani kundi hili la walimu likombolewew na wananchi ambao walinyang'anywa haki ya kuchagua viongozi wao na haohao walimu Kwa kupewa posho ya 270000-320000 katika uchaguzi wa 2020?
Generation hii ina hasara kubwa sana.

Akili zako zinadhihirisha hilo.
 
We generation yako ni ipi, na kwenye generation yetu unafanya nini go to hell mbwa wewe.
Namjua mama yako
Nilimwambia aitoe ile mimba lakini akang'ang'ania kukuzaa.

Nilikususa kwa sababu ulipaswa kutoka kwa njia ya chaputa lakini mamio akajileta bila kumtumia nauli
 
Namjua mama yako
Nilimwambia aitoe ile mimba lakini akang'ang'ania kukuzaa.

Nilikususa kwa sababu ulipaswa kutoka kwa njia ya chaputa lakini mamio akajileta bila kumtumia nauli
Hujielewi paka shume wewe.
 
Namjua mama yako
Nilimwambia aitoe ile mimba lakini akang'ang'ania kukuzaa.

Nilikususa kwa sababu ulipaswa kutoka kwa njia ya chaputa lakini mamio akajileta bila kumtumia nauli
Duuuu!!! Wazazi wanapataga hasara jamani hapa duniani
 
Back
Top Bottom