polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Una stress zako wewe ndugu si bure,Walimu siyo wa kutetea acha wanyooshwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una stress zako wewe ndugu si bure,Walimu siyo wa kutetea acha wanyooshwe.
Hahaaaaa.....kati ya maeneo nakuona fara ni kusema una elimu wakati unamtukana mwalimu kila mtu anakuona ni punguani na hamnazoWewe mwalimu huwezi nifikia elimu yangu endelea kutumikishwa na politicians mpumbavu wewe.
Achaneni naye mnapoteza mda wenu humu na ambaye anahitaji matubabu ya akiliHivi huyu mbwa katokea wapi
Wewe Kama unahisi Kama ukizingua usitukanwe kisa mwalimu kawambie washamba wenziyo elimu yangu sikuoata Kama hisani.Hahaaaaa.....kati ya maeneo nakuona fara ni kusema una elimu wakati unamtukana mwalimu kila mtu anakuona ni punguani na hamnazo
Ila ilipewa na majini....Wewe Kama unahisi Kama ukizingua usitukanwe kisa mwalimu kawambie washamba wenziyo elimu yangu sikuoata Kama hisani.
Huna elimu wewe , hakuna mwenye elimu ambaye ana fikra kama zako.Wewe Kama unahisi Kama ukizingua usitukanwe kisa mwalimu kawambie washamba wenziyo elimu yangu sikuoata Kama hisani.
Huna elimu wewe , hakuna mwenye elimu ambaye ana fikra kama zako una stress za kukosa ajira wewe ndio maana hata ufahamu wako ni mdogo.Wewe Kama unahisi Kama ukizingua usitukanwe kisa mwalimu kawambie washamba wenziyo elimu yangu sikuoata Kama hisani.
Nlichogundua tunabishana na mtu mwenye matatizo ya afya ya akili...hivyo ye anayemjua mwalimu ni aliyemfundisha primary tu...hajui kama hata lecturer ni mwalimu....Huelewi hata unacho kiongea na hujui hata dhana ya mwalimu kwa upana wake kwa hiyo wewe elimu yako hiyo hiyo ya ujinga ulipewa na muhunzi? ndio maana kila mtu humu anakuona mjinga ila kwa vile kichwa boksi hata hujishtukii
Huyu atakuwa ndio hawa wamefanya mitihani juzi hapa wa lasaba we we unaona hata uelewa wake sio wa mtu aliye fika hata form two..Ila ilipewa na majini....
Ndio maana nakwambia yawezekana tunabishana na mtoto aliye fanya mtihani wa la saba juzi hapa maana nafuatilia hata trends za maandishi yake anaonekana ana uelewa mdogo sanaNlichogundua tunabishana na mtu mwenye matatizo ya afya ya akili...hivyo ye anayemjua mwalimu ni aliyemfundisha primary tu...hajui kama hata lecturer ni mwalimu....
Kwanza umeshajiita The lost sijui hata kama unaelewa maana yake.....we tayari ulishapotea kitambo sasa hakuna haja ya kuhangaika na weweWewe Kama unahisi Kama ukizingua usitukanwe kisa mwalimu kawambie washamba wenziyo elimu yangu sikuoata Kama hisani.
Sio wa kuonea huruma hawa, walishiriki sana kuvuruga uchaguzi 2020, sina hamu nao wangese sana hawa walimuHuu ni uonevu mkubwa,walimu wanashindwa kupewa kipaumbele na kuanza kulalamika hawajalipwa mishahara yao ya miezi miwili.
Taifa hili tunafika kubaya, nchi imeishiwa pesa hata ya kulipa mishahara walimu.
Hao katika video ni walimu wa shule za sekondari halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, ambao wameweka kambi nje ya ofisi ya Mkurugenzi wakishinikiza kulipwa mishahara yao.
View attachment 2383305
Mwalimu na 2020 vinahusiana nini, hujui dunia inavyozunguka dogo kalale, usiendeshwe na hisiaMwalimu wa Tanzania ni msaliti wa nchi na Kwa maana hiyo hapaswi kuheshimiwa. We unadhani endapo kingenuka 2020 taifa letu lingekuwaje leo? Acha kuwa Mjinga mwalimu hapaswi kutetewa. Wewe Kama unahisi kumtukana mwalimu ni kosa basi utakuwa ni Mjinga na hakuna ujualo hapa Duniani.
Unamatatizo ya ubongo, si bure.Wewe mwalimu huwezi nifikia elimu yangu endelea kutumikishwa na politicians mpumbavu wewe.
sjajua hyo mwalimu alisoma wap na ww ulisoma wap lkn ujinga wa mtu hautegemei kaz aliyonayo bal akili yake tu! mbona hata majaji wanahukumu kesi hata kama hujaenda shule unajua hapa kuna maelekezoHakuna kitu wanajua, siyo siasa, siyo uchumi Wala mambo ya kijamiii. Wapowapo Kama watoto wadogo yaani
Semina 50kNimekutana na walimu hapa Mwanambaya - Mkuranga,walisimamia mitihani ya darasa la 7.
Wameniambia kuwa siku ya kwanza ya semina walilipwa 40,000,siku ya pili wakakopwa.
Kwenye kusimamia mitihani,wamelipwa 35,000 kwa siku badala ya 40,000.
Wanauliza hizo hela nyingine zimeenda wapi!!?
NECTA na TAMISEMI/MOE wamefanya hivyo nchi nzima au ni Halmashauri ya Mkuranga pekee.