DOKEZO Walimu Walala ofisi ya Mkurugenzi Buchosa Mwanza, wakishinikiza malipo

DOKEZO Walimu Walala ofisi ya Mkurugenzi Buchosa Mwanza, wakishinikiza malipo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Buchosa hii ni kawaida. Wanalazimishwa wapokee posho ya kujikimu laki 4 flatlet kingali waraka unasema malipo ni hadi laki 9
 
Huwezi kunielewa. Kwa ufupi nchi hii imekwama Kwa sababu walimu ni wajinga na hawana uzalendo na taifa.
Kina nani ni werevu na wenye uzalendo ambao wameikwamua m
Nchi....acha kujaribu kusahihisha ujinga wako ulioropoka tangu mwanzo mbwa mkubwa wewe
 
So kuharibu uchaguzi ni sehemu ya CIVICS ama? Kutopigania haki zao imeamuriwa kwenye civil rights ama? Wewe ni mwalimu?
Unataka wapiganie vip haki zao...kwani hujui hata kupiga kambi kwa mkurugenzi ni sehemu ya kupigania haki zao...mbwa wewee
 
Sasa wewe unakuwaje na akili kama walimu wako walio kufundisha ni wajinga? Hakuna msomi awaye yeyote yule mwenye guts za kuweza kuita walimu wajinga halafu na yeye akawa sio mjinga na akajiita msomi na ameelimika.

Mara nyingi maneno ya namna hii utayapata kwa watu wasio na elimu kabisa wenye upeo mdogo na uwezo mdogo kabisa wa fikra ,maskini wa mali, afya na akili na wewe ukiwa mmoja wao.
Ukifuatilia elimu yake utakuta hili ndio yale yanayoferi tangu primary yanaishia kuungaunga halafu kwa ujinga wao yanatupa lawama kuwa yameferishwa.....achana nalo bwege hilo
 
Walimu walishiriki Kwa asilimia 100 kuharibu uchaguzi mkuu 2020, walifanya jaribio hatari la kuhatarisha usalama wa nchi na watalipa Kwa upumbavu ule. Hakuna kumhurumia mwalimu wa nchi hii wote ni wehu na wanapenda kujifanya wajuaji kumbe wapuuzi tu.
Huelewi hata unachoongea....we unajua nini kuhusu mchakato wa uchaguzi...kwani mawakala wa vyama huwa wapo kwenye vituo vya kupigia kura kufanya nini...tena hao wa vyama vyenu ambavyo huwa mnawajaza saa 11 tu walishafika vituoni wanabembea kwenye madirisha ya vyumba vya kupigia kura huku wanapeana zamu za kuzunguka kituo...mkishindwa imekuwa walimu ndio wameharibu...huna unachojua mbwa wewee
 
Huelewi hata unachoongea....we unajua nini kuhusu mchakato wa uchaguzi...kwani mawakala wa vyama huwa wapo kwenye vituo vya kupigia kura kufanya nini...tena hao wa vyama vyenu ambavyo huwa mnawajaza saa 11 tu walishafika vituoni wanabembea kwenye madirisha ya vyumba vya kupigia kura huku wanapeana zamu za kuzunguka kituo...mkishindwa imekuwa walimu ndio wameharibu...huna unachojua mbwa wewee
We punguani huwezi nifundisha mchakato wa uchaguzi. Najua nachosema Walimu walihatarisha usalama wa nchi Kwa mambo ya kijinga, shukuru Mungu every thing settled peacefully Mngejuta.
 
Ukifuatilia elimu yake utakuta hili ndio yale yanayoferi tangu primary yanaishia kuungaunga halafu kwa ujinga wao yanatupa lawama kuwa yameferishwa.....achana nalo bwege hilo
Wewe mwalimu huwezi nifikia elimu yangu endelea kutumikishwa na politicians mpumbavu wewe.
 
We punguani huwezi nifundisha mchakato wa uchaguzi. Najua nachosema Walimu walihatarisha usalama wa nchi Kwa mambo ya kijinga, shukuru Mungu every thing settled peacefully Mngejuta.
Huna chochote unachojua...ni mihemko ya kisiasa ndio unakukuna unashindwa kutulia unabaki kubwekabweka tu kama mbwa koko....unatafuta kujulikana na chama chako ili wakuone unapambania chama....
 
Back
Top Bottom