Watoro kaziniHuu ni uonevu mkubwa,walimu wanashindwa kupewa kipaumbele na kuanza kulalamika hawajalipwa mishahara yao ya miezi miwili.
Taifa hili tunafika kubaya, nchi imeishiwa pesa hata ya kulipa mishahara walimu.
Hao katika video ni walimu wa shule za sekondari halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, ambao wameweka kambi nje ya ofisi ya Mkurugenzi wakishinikiza kulipwa mishahara yao.
View attachment 2383305
Kwa nini Wizara ya Elimu au Tamisemi isitenge pesa kwa ajili ya walimu badala ya kuwasumbua?Huu ni uonevu mkubwa,walimu wanashindwa kupewa kipaumbele na kuanza kulalamika hawajalipwa mishahara yao ya miezi miwili.
Taifa hili tunafika kubaya, nchi imeishiwa pesa hata ya kulipa mishahara walimu.
Hao katika video ni walimu wa shule za sekondari halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, ambao wameweka kambi nje ya ofisi ya Mkurugenzi wakishinikiza kulipwa mishahara yao.
View attachment 2383305
Uanze na wewe kujiona huna akili timamu kwa sababu huwezi fundishwa na asiye na akili timamu halafu wewe ukawa na akili timamu ni sawa na kuutukana uchi wa mama yako ulio kutoa ukawa wewe halafu unaanza kuutukana . Sorry kwa maneno makaliWalimu Huwa hawana Akili timamu. Let them suffer.
Huwezi kunielewa. Kwa ufupi nchi hii imekwama Kwa sababu walimu ni wajinga na hawana uzalendo na taifa.
Mwalimu au yeyote aliye mtumishi wa serikali ni sehemu ya serikali hawezi kwenda kinyume na serikali elewa hivyo na urudi shuleni ukasome tena civicsWalimu wote wonaoshabikiaga CCM wakati wakampeni Poor tena poor kabisa
So kuharibu uchaguzi ni sehemu ya CIVICS ama? Kutopigania haki zao imeamuriwa kwenye civil rights ama? Wewe ni mwalimu?Mwalimu au yeyote aliye mtumishi wa serikali ni sehemu ya serikali hawezi kwenda kinyume na serikali elewa hivyo na urudi shuleni ukasome tena civics
Wewe punga usibishane na Mimi...Uanze na wewe kujiona huna akili timamu kwa sababu huwezi fundishwa na asiye na akili timamu halafu wewe ukawa na akili timamu ni sawa na kuutukana uchi wa mama yako ulio kutoa ukawa wewe halafu unaanza kuutukana . Sorry kwa maneno makali
NDIYO MIMI NI MWALIMUSo kuharibu uchaguzi ni sehemu ya CIVICS ama? Kutopigania haki zao imeamuriwa kwenye civil rights ama? Wewe ni mwalimu?
Akili ndogo ndivyo mlivyo nimekusameheWewe punga usibishane na Mimi...
Nimekutana na walimu hapa Mwanambaya - Mkuranga,walisimamia mitihani ya darasa la 7.Huu ni uonevu mkubwa,walimu wanashindwa kupewa kipaumbele na kuanza kulalamika hawajalipwa mishahara yao ya miezi miwili.
Taifa hili tunafika kubaya, nchi imeishiwa pesa hata ya kulipa mishahara walimu.
Hao katika video ni walimu wa shule za sekondari halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, ambao wameweka kambi nje ya ofisi ya Mkurugenzi wakishinikiza kulipwa mishahara yao.
View attachment 2383305
Kama kweli ni mwalimu huwezi niita Akili ndogo. Nakuzidi Kila kitu elimu na exposureAkili ndogo ndivyo mlivyo nimekusamehe
Walimu wa Tanzania ni vilaza na wajinga. Nina uhakika na kauli yangu.NDIYO MIMI NI MWALIMU
na kwa sababu huelewi chochote kuhusu uchaguzi wa tanzania na huelewi chochote kuhusu maana ya mamlaka , kaa kushoto endelea kumuona mwalimu hajielewi
Na kwa kukusaidia kuanzia leo jua hakuna mwalimu aliye wahi kuharibu uchaguzi.
watakuwa na shda zao binafs, mishahara yote hutokea hazinaHuu ni uonevu mkubwa,walimu wanashindwa kupewa kipaumbele na kuanza kulalamika hawajalipwa mishahara yao ya miezi miwili.
Taifa hili tunafika kubaya, nchi imeishiwa pesa hata ya kulipa mishahara walimu.
Hao katika video ni walimu wa shule za sekondari halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, ambao wameweka kambi nje ya ofisi ya Mkurugenzi wakishinikiza kulipwa mishahara yao.
View attachment 2383305
Usichokijua ni afadhali ukae kimya🥰aliekuambia mishahara hiyo inalipwa na halmashauri amekudanganya ova.Kufanya kazi halmashauri ni moja kati ya chanzo cha umasikini.
#MaendeleoHayanaChama
Mnashindwa kupambania haki zenu alafu unajiona sehemu ya serikali.mbona hizo taasisi zingine za serikali hatuoni zikinyanyaswa kama waalimu.Mnashindwa kutengeneza heshima yenu alafu mnabaki kulia lia mkiambiwa ukweli.Mwalimu au yeyote aliye mtumishi wa serikali ni sehemu ya serikali hawezi kwenda kinyume na serikali elewa hivyo na urudi shuleni ukasome tena civics
Akili ndogo huwa mko hivyo nakusamehe tenaKama kweli ni mwalimu huwezi niita Akili ndogo. Nakuzidi Kila kitu elimu na exposure
Sasa wewe unakuwaje na akili kama walimu wako walio kufundisha ni wajinga? Hakuna msomi awaye yeyote yule mwenye guts za kuweza kuita walimu wajinga halafu na yeye akawa sio mjinga na akajiita msomi na ameelimika.Walimu wa Tanzania ni vilaza na wajinga. Nina uhakika na kauli yangu.