tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
there you are..kabla ya ndege vyuma vilikuwa laini.
..baada ya ndege vyuma vimekaza.
..kusema ukweli tumetumia fedha ktk mradi unaogusa na kutoa ajira kwa watu wachache.
mwalimu ndo atajua sasa madhara ya mitandao,hii imekula kwakeLwezera shule ya msingi, naijua vizuri sana hii shule. Pale hakuna uhaba wa vyumba vya madarasa kwa kiwango hiki mpaka wanafunzi wajae hivi.
Huenda huyu mwalimu aliunganisha mikondo yote akawaweka kwenye darasa moja ili ionekane kuna shida kubwa kiasi hiki.
Nyie pandeni Kisbo zenu mtuachie Airbus na madilimulaina yetu.View attachment 1331049
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.
Tuliambiwa "tufyetue elimu bure"Acheni kuzaliana hovyo kama Sungura mkitaka maisha bora!
Sikubaliani na hili mkuu wangu 'Return', na mawazo yangu juu ya hili yako wazi humu JF.Kalamu1,
Utawasikiaje wakati hatuwapi support? Wao kila siku mahakamani, mikutano imezuiwa ila ccm ruksa, bunge limekuwa gizani utaskia wapi? Vyombo vya habari wanatishwa kuandika au kuonyesha kazi yao kuenyesha ikulu live tu.
Dreamliner zinakuza uchumi! Hatufugi kuku unaodhani tutauza mayai na nyama nje ya nchi. Ethiopia wanaujuzi wa biashara ya usafiri wa anga miaka mingi sana, wao hata wakati ule wa vurugu nchini mwao shirika halikutetereka na wanazo ndege nyingi sana lakini hazijaweza kukuza uchumi wa nchi yao. Tueleze ni mabadiliko yapi zimeleta nchini kiuchumi kuliko kisiasa. Tangu zije zimeleta watalii wangapi nchini! Watalii huletwa na ndege zao siyo kama Uber unaipigia simu inakuja kukubeba. China tulikuwa tukiicheka miaka ya sabini lakini waliwekeza kwenye elimu kwa mfumo wao wa fastafasta na sasa China si ile ya fikra za mwenyekiti. Tatizo letu ni ujenzi wa nchi kutokuwa shirikishi yaani CCM inaamini itaijenga nchi kwa kutumia wanaccm tu ili sifa na pongezi ziwe zao! Hii ni ndoto.Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa umesoma shule za kisasa.Lakin sisi tuliosoma shule hizo tunatambua kabisa kuwa hiyo ni kawaida.Kwa mfano hapo ukicheki hilo darasa ni kwamba kwanza mwalimu ameunganisha madarasa 2.Hii inafanyika ili kukimbizana na mtaala kwa sababu ukisema ufundishe maana ya mazingira la 5 A,B, na C basi mpaka mwezi wa 8 utakuwa topic na 4 kati ya topic 12.kwa hiyo hapo ni kwamba kuna upungufu wa walimu na pia kuna upungufu wa vyumba vya madarasa.kama unabisha jaribu kupita hata shule 2 au 3 za mjini kwenu utaona hiyo kesi ikitokea.Ume
umefanya utafiti na kuuliza vyanzo vya hiyo clip na kujua nini kilitokea ktk hiyo clip mpaka wanafunzi hao wakawa humo ndani?
Critical thinking is evasive to you i am afraid...
Kama taifa, bado hatujajua kipi kitangulieKatika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.
Halafu anawashangaa askari kujipangia bajeti yao bila kupitishwa na bunge wakati wamemwiga yeye mwenyewe kujichotea atakavyoTatizo lipo kwa wawakilishi wetu wa majimbo maana wao wenyewe ndo wahusika wakuu kwa hii kadhia,wanatakiwa kumdhibiti huyo anayejichotea hela yetu na kununua vitu visivyoakisi na kugusa shida za wananchi. Huku mikoani kuna shida jamani watoto wanapata shida hasa sehemu ya kukaa!!!!wakati huohuo vitabu havipo mashuleni. Tuna safari ndefu sana kama taifa
Hizo kampuni ni shida walikuwa wanatunyanya sana hasa fastjet kuhairisha safari bila taarifa,gharama ukisafiri na mzigoKulikuwa na Precision air na Fast jet.
Kwanini usitaje jina la shule na mkoa ili wasaidiwe?Labda hiyo picha ni ya Msumbiji au uzushi tu.Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.