Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!

View attachment 1331347
Hii ni ile mwalimu anatakiwa kufundisha sayansi la tatu A,B na C mida tofauti, anaamua kuongea na walimu wenzake wamrekebishie ratiba yake aunganishe madarasa yote kwa kipindi kimoja.
 
Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.


Umekurupuka mkuu.
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mwanzoni ilikuaje acha ushamba na ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ume

umefanya utafiti na kuuliza vyanzo vya hiyo clip na kujua nini kilitokea ktk hiyo clip mpaka wanafunzi hao wakawa humo ndani?
Critical thinking is evasive to you i am afraid...
Kwanini wawe wengi hivyo by anymeans huu ni ujinga na upumbavu
 
Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.


Hii siyo ya awamu hii,acha uchochezi
 
Suala la elimu lazima lipewe kipaumbele kuliko kitu chochote.
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usafiri wa ndege umekuwa aghali zaidi baada ya fast jet kuondoka. air tanzania imeleta balaa kwa wasafiri.
 
Ndio walewale mnaokamata watu wakifichua mambo yalivyo huko kwenye jamii.
Hili mbona kama ni igizo? Mpiga picha kakaa kwenye angle ambayo kachukua video kwa utulivu huku na huyo "mwalimu" akifundisha kwa mbwembwe kabisa akiwa anajua lazima aweke pozi ili kuendana na script

Huyo mwalimu gani anaingia darasani kwake anawaambia wanafunzi wake wa kila siku "mpoo?, Darasa la ngapi?" Na wao wanajibu "darasa la nne".

Sijui wala sipingi dhamira ya waliocheza sinema hii lakini angalau wangesema kweli tu kwamba kuna maofisa wa NGO au waandishi wa habari wametembelea shule fulani wakaruhusiwa kuingia darasa lililojaa wanafunzi na kufundisha huku wakipigana picha na kuchukua picha za video

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo mbumbumbu mkubwa kuwahi kutokea, serikali huwa haifanyi Biashara, kazi yake ni kukusanya kodi, Fastjet ilikuwa na ndege nyingi na nauli ilikuwa ndo to make everyone afford the price

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii itawa cost,mbaya zaidi mpiga picha hakuwaza kabisa kuhusu hii tshirt ya chalii...View attachment 1331423View attachment 1331424
Lwezera shule ya msingi, naijua vizuri sana hii shule. Pale hakuna uhaba wa vyumba vya madarasa kwa kiwango hiki mpaka wanafunzi wajae hivi.
Huenda huyu mwalimu aliunganisha mikondo yote akawaweka kwenye darasa moja ili ionekane kuna shida kubwa kiasi hiki.
 
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!
Maigizo mengine ni ya kujitafuia matatizo na serikali. Hivi hili ni darasa la ngapi lenye watoto wa rika tofauti? Yani kila mtoto anataka aangalie kamera kama imemchukua na mwalimu mwenyewe anajisahau anaan
 
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!
Maigizo mengine ni ya kujitafutia matatizo na serikali. Hivi hili ni darasa la ngapi lenye watoto wa rika tofauti? Kuna rika kuanzia std 1 mpaka 7, yaani kila mtoto anataka aangalie kamera kama imemchukua na mwalimu mwenyewe anajisahau anaangalia kamera.
 
Back
Top Bottom