Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Ni matumaini yangu mwalimu amejiandaa na matokeo ya video hii.
Maana mshindo wake utakuwa mkubwa sana.
 
Viongozi wanaishi maisha ya kifahari watoto wao wapo njee ya nchi au shule za kimataifa na bado tunapumbazwa na elimu bure!

Bado sana tuendelee kuvuta subira kwani bado gepu la watawaliwa na watawala ni kubwa sana.
 
Kwakuwa wanajitapa awamu ya 5 ni Viongozi Wazalendo ..Iwe ni lazima sasa Watoto wote wa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali Wasome katika Shule za Serikali.

Iwe ni Lazima
Hiyo ngumu kumeza!
 
  • Thanks
Reactions: prs
Wanafunzi mia mbona wachache tu! Ukienda pale kwenye ukumbi wa Nkuruma (UDSM) ni jambo la kawaida kumkuta 'ticha' anafundisha wanafunzi mia nane kwa muda wa masaa mawili, acha hawa wanaotumia dk 40 hadi 80!
 
Hili mbona kama ni igizo? Mpiga picha kakaa kwenye angle ambayo kachukua video kwa utulivu huku na huyo "mwalimu" akifundisha kwa mbwembwe kabisa akiwa anajua lazima aweke pozi ili kuendana na script

Huyo mwalimu gani anaingia darasani kwake anawaambia wanafunzi wake wa kila siku "mpoo?, Darasa la ngapi?" Na wao wanajibu "darasa la nne".

Sijui wala sipingi dhamira ya waliocheza sinema hii lakini angalau wangesema kweli tu kwamba kuna maofisa wa NGO au waandishi wa habari wametembelea shule fulani wakaruhusiwa kuingia darasa lililojaa wanafunzi na kufundisha huku wakipigana picha na kuchukua picha za video
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sidhani kama ni sahihi kuita wenzio Matapeli inaonekana kwanza hata hujui lolote kuhusu hayo makampuni unaropoka tu na akili zako cha kuchanganywa na wana siasa
 
Kwa utawala huu sikivu, si ajabu mwalimu akapoteza ajira na kesi ya kutakatatisha pesa.
Binasfi imeniongezea ari nipambane zaidi niweze kutimiza ahadi cement ujenzi madarasa mtaani kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe ni wa ajabu kuliko. ATC mwanza peke yake inasafirisha watu zaidi ya mia 800 kwa siku. Bado Mbeya' Kilimanjaro Dodoma na Kigoma. Ni zaidi ya watu 2000 kwa siku. Unawezaje kusema sio kipaumbele kama siyo ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu ni hasara kila mwaka shirika linaingia!
 
Kwakuwa wanajitapa awamu ya 5 ni Viongozi Wazalendo ..Iwe ni lazima sasa Watoto wote wa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali Wasome katika Shule za Serikali.

Iwe ni Lazima

Utakamatwa kwa makosa ya uchochezi.
 
  • Kicheko
Reactions: prs
Kwa utawala huu sikivu, si ajabu mwalimu akapoteza ajira na kesi ya kutakatatisha pesa.
Binasfi imeniongezea ari nipambane zaidi niweze kutimiza ahadi cement ujenzi madarasa mtaani kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo shule mnayojenga mtaani kwenu itabidi pia muiendeshe wenyewe. Kujenga majengo ya madarasa hpeke yake hakutoshi.
 
Nchi ya wajinga sana hii. Halitaonekana hili la watoto wa wanyonge kukanyagana hivi kama ni tatizo ili lishughurikiwe. Atashughurikiwa Mwalimu.
Vururu vururu..!
 
Back
Top Bottom