Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Acheni kuzaliana hovyo kama Sungura mkitaka maisha bora!
 
Siasa za Tanzania ni hovyo sana! Wanaokosoa JPM kununua Ndege, wanaokosoa kujinufaisha Kisiasa. Vile vile JPM na CCM amenunua Ndege ni jambo jema sana, lakini wanataka kujinufaisha Kisiasa.​
Siasa tupu na ujinga wa wananchi
 
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!

View attachment 1331347
Unaweza kukuta tatizo si uhaba wa darasa, bali wa waalimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tatizo mbona lipo sana Sema nini viongozi wataelewa vipi watoto Wao wapo international school na English medium huku acha tu wakae chini ikiwezekana wakakae kwenye Miti kabsa,Then hakuna kosa kubwa kama kuchaangisha Mwanafunzi #Kama una uwezo mpeleke mtoto wako shule sio shuleni huko hope tumeelewana vzur.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.


Hawa watoto wote at the end wanakuwa wanaccm.
 
.MAGUFURI alisha sema hapangiwi, mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
 
Natamani mngeenda kasikazini mlajifunza kwanini wanafanikiwa

Maana kule hizo shule za kata kabla hamjawaza Wala serekali kuhamasisha kule walishajenga kitambo Sana ..nakumbuka mwaka 1996 nilisomba mawe ya shule ya sekondari kiselu toka mtoni na hii ilikuwa kipindi Cha likizo yaani vijana wote kijijini Ni kusomba mawe ya ujenzi na hii sio ombi Ni lazima...

Na walimu walivyopangiwa watu waliwapa nyumba za kuishi bure na ushirikiano wa kutosha ..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!

View attachment 1331347





Ni changamoto za kawaida
 

Attachments

  • IMG_2018.MP4
    9 MB
huyo Mwalimu ni kama anashangaa hali hiyo utadhani ni mgeni, lakini anaongelea walipoachia somo lililopita.... looks choreographed.... not to mention the moving camera trained on the situation.... and zero effort applied to create space for himself at the bottom of the black board.... apparently he was pausing for a dramatic video shoot!

Money Laundry and Economic Offense charges are in the offing...
 
huyo Mwalimu ni kama anashangaa hali hiyo utadhani ni mgeni, lakini anaongelea walipoachia somo lililopita.... looks choreographed.... not to mention the moving camera trained on the situation.... and zero effort applied to create space for himself at the bottom of the black board.... apparently he was pausing for a dramatic video shoot!

Money Laundry and Economic Offense charges are in the offing...
Kwamba, hakuna hali hiyo kwenye shule za serikali?
 
Back
Top Bottom