DOKEZO Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
" The hunger games " - Hii yote ni sera mbovu za ccm kushindwa kufanya nchi iwe na sekta binafsi inayozalisha ajira za kutosha .
Na hawa Kenge wanaojiita waalimu wao washaZzoea kutumika kama misukule ya ccm kuharibu uchaguzi , ni bora mkose hizo ajira ,mtupu guzie bughdha kwenye uchaguzi mkuu ,maana ninyi ni kama kondomu za wanaccm
 
We endelea kupayuka na kutema mate humu as if mimi ndio serikali niliyekunyima ajira , ajira hupati ng'o
You should be ashamed of yourself , pathetic !
Usahili uko pale pale .who the fvck do you think you are ?
Mkenda aendelee kuwaminya vizuri ili akili ziwakae.
Waalimu uchwara , hamna akili kabisa .
 
Kwa standard za usaili umefeli 😭😭😭ndio maana upo kwenye ilo genge la neto.
Kwa upumbavu wako utaona amefeli
Kiwango Cha kufaulu walishaweka wazi kuwa ni 50+
Ndiyo maana baadhi ya masomo wamepasi kwa 52
Na usifikiri ninavyo sema hivyo kuwa Mimi ni mhitimu wa kada hiyo?
 
Hadhani haya yalitakiwa yasemwe na ETO badala ya NETO
 
Hii ni uthibititisho wa ubovu wa elimu yetu
 
Tunadiscuss km tatizo la kitaifa mimi pia siyo mwalimu kabisa. Km umeangusha chaki acha miye niangushe ubao.
Umeondoka kwenye hoja yako ya awali ndio maana, kuna mahali nimesema wasifanye interview? Kuna uzi madaktari nao walisema hawatendewi haki kwa kufanya interview eti kwa kuwa wapo smart, wanmefanya internship, wamesajiliwa na MAT, wanataka na wao waingie tu kazini etc, nikasema tumezoea kulishwa kwa spoon/vya kunyonga sasa tukirudishwa kwenye standards tunaona kama tumeonewa. Wabongo muda wote ni kujiliza tu hatutaki ushindani katika kila fani hadi rais na wanasiasa wengine tunataka kupita bila kupingwa na wala hatutaki scrutinization hata tukiwa kazini. My point was kwa sasa hawa vijana wanatakiwa kuona interview ni part of the process na waizoee zile zama za kupata appointment toka chuo zilishapitwa na wakati, kwa kuwa zamani walikua wachache sio sasa
 
Mtu mwenye uwezo wa kuanzisha huo umoja hawezi kukosa ajira.., si ufuge hata kuku tu?
 
Mwalimu wa geo unampima kwa maswali ya ep au ct kwani anaenda kufundishia wanafunzi hayo? Na hiyo pepa hata dakika 40 hazikufika ndo maana walikataza saa, na Kuna walimu kibao wanajitolea miaka mingi huko mashuleni ila ni not selected
Ni maumivu mkuu.
 
Punguza jazba πŸ•β€πŸ¦Ί Wewe. Hii nchi ni yetu sote
 
Hakuna kuajiri bila usaili.
Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie.

Waalimu mpaka mteme nyongo ila moto n ule ule
 
Hii nchi kila kitu kilikuwa kinaendeshwa kisiasa. Sasa ametokea kiongozi mwenye kuheshimu professionalism. Mjifunze na kuendana na mfumo mpya.
 
KIONGOZI WA NETO KASHAKAMATWA HUKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…