We endelea kupayuka na kutema mate humu as if mimi ndio serikali niliyekunyima ajira , ajira hupati ng'onaonesha jinsi Gani usivo mbunifu. Buni wazo lako na namna yako ya kipekee ya kudai haki zenu/zako. Nyie si mlikalia kukariri ma Archimedes principle Sasa uwezo wa kuhoji huo huna ndg mhandisi ndiyo maana mmekuwa mkiperekeshwa tangia apo na mnaona kawaida tu kupotezewa muda wenu na rasilimali fedha zenu. Yaani mtu akutie hasara kuanzia kwenye mchakato wa uombaji(ucertify vyeti) mpaka kwenye nauli, chakula na malzi halafu update 90 ukatwe achukuliwe aliepata 92 halafu urudi nyumbani ukichekelewa na kuona ni jambo la kawaida πβπ¦Ί shame on you .
Kwa upumbavu wako utaona amefeliKwa standard za usaili umefeli πππndio maana upo kwenye ilo genge la neto.
Hadhani haya yalitakiwa yasemwe na ETO badala ya NETOAidha, Edgar ameitaka serikali kusimamia upangaji wa mishahara katika taasisi za elimu binafsi. Ameeleza kuwa kwa sasa, kuna tofauti kubwa katika malipo ya waalimu wa taaluma moja kulingana na ngazi tofauti za elimu, jambo ambalo linahitaji uangalizi wa serikali.
Amependekeza kuwa waalimu walipwe mishahara kulingana na kiwango chao cha elimu ili kuhakikisha haki inatendeka.
Wao wanachotaka mlipe Ada tu sasa unafikiri yale majengo yabakie kufugia popokusitisha uzalishaji wa walimu vyuoni hadi waliopo mtaani wapate Ajira
Umeondoka kwenye hoja yako ya awali ndio maana, kuna mahali nimesema wasifanye interview? Kuna uzi madaktari nao walisema hawatendewi haki kwa kufanya interview eti kwa kuwa wapo smart, wanmefanya internship, wamesajiliwa na MAT, wanataka na wao waingie tu kazini etc, nikasema tumezoea kulishwa kwa spoon/vya kunyonga sasa tukirudishwa kwenye standards tunaona kama tumeonewa. Wabongo muda wote ni kujiliza tu hatutaki ushindani katika kila fani hadi rais na wanasiasa wengine tunataka kupita bila kupingwa na wala hatutaki scrutinization hata tukiwa kazini. My point was kwa sasa hawa vijana wanatakiwa kuona interview ni part of the process na waizoee zile zama za kupata appointment toka chuo zilishapitwa na wakati, kwa kuwa zamani walikua wachache sio sasaTunadiscuss km tatizo la kitaifa mimi pia siyo mwalimu kabisa. Km umeangusha chaki acha miye niangushe ubao.
Mtu mwenye uwezo wa kuanzisha huo umoja hawezi kukosa ajira.., si ufuge hata kuku tu?"Umoja wa Waalimu Wasio na Ajira (NETO) ulianza na Wanachama (wajumbe) 15 kupitia makundi ya WhatsApp. Tulianzisha NETO kwasababu ya sintofahamu ya ajira iliyopo kwa wahitimu kuanzia mwaka 2015 mpaka 2023."
"Masuala ya usaili kumekuwa na changamoto nyingi ambazo zimekuwa zikituumiza wasailiwa, changamoto hizi ni kubwa zimefika hatua zina athiri mpaka uchumi wetu moja kwa moja wasailiwa ambao ndio tuna maisha magumu mtaani, hawana ajira wanajitafuta kwa kiwango kidogo sana na kupata lakini wameathiriwa na huu usaili, wametumia gharama kubwa sana kiasi hatua ambayo wengine wameingia madeni."
"Utafutaji wetu wa sisi ambao tumekosa ajira mtaani kwa kweli ni mgumu mno kiasi ambacho kupata 2,000/- kwa siku ya kula imekuwa ngumu. Baadhi ya watu wameenda kwenye usaili wakiwa wamechukua pesa kwa watu, mtu anaendesha pikipiki anaamua kukopa pesa ya kipande kwa bosi wake ili aweze kwenda kufanya usaijili Bahati mbaya hachaguliwi, hicho kitendo kina waumiza wengi. Lakini bado si hivyo tu kuna watu wanabiashara zao ndogo ndogo zimekufa kwasababu changamoto hii wanapoenda kufanya usaili ni mbali inatumika gharama kubwa kwahiyo imeathiri kwa kiwangu kikubwa hasa walala hoi ambao kwa asilimia kubwa hatuna biashara za msingi."
Katibu wa Umoja wa Waalimu Wasio na Ajira (NETO), Daniel Edgar, ameiomba Serikali kutoa ajira kwa wahitimu wa ualimu waliomaliza masomo yao kati ya mwaka 2015 na 2024.
Ameeleza kuwa kundi hilo lina kila sababu ya kuomba ajira, kwani wengi wao bado hawajapata nafasi ya kufanya kazi rasmi.
Aidha, Edgar ameitaka serikali kusimamia upangaji wa mishahara katika taasisi za elimu binafsi. Ameeleza kuwa kwa sasa, kuna tofauti kubwa katika malipo ya waalimu wa taaluma moja kulingana na ngazi tofauti za elimu, jambo ambalo linahitaji uangalizi wa serikali.
Amependekeza kuwa waalimu walipwe mishahara kulingana na kiwango chao cha elimu ili kuhakikisha haki inatendeka.
"Viongozi wetu wa Serikali, kutokana na uhalisia wa wahitimu na changamoto zinazoonekana katika zoezi la usaili kwa kada ya ualimu, tunapendekeza yafuatayo yafanyiwe kazi.
"Pendekezo la kwanza, kusitisha usaili mara moja kwa kada ya ualimu na kutumia utaratibu wa awali Pendekezo la pili, vyuo vimalize hatua zote za kumthibitisha mwalimu na siyo kuthibitishwa baada ya kukaa muda mrefu mtaani. Pendekezo la tatu, kusitisha uzalishaji wa walimu vyuoni hadi waliopo mtaani wapate Ajira"
Ni maumivu mkuu.Mwalimu wa geo unampima kwa maswali ya ep au ct kwani anaenda kufundishia wanafunzi hayo? Na hiyo pepa hata dakika 40 hazikufika ndo maana walikataza saa, na Kuna walimu kibao wanajitolea miaka mingi huko mashuleni ila ni not selected
Punguza jazba πβπ¦Ί Wewe. Hii nchi ni yetu soteWe endelea kupayuka na kutema mate humu as if mimi ndio serikali niliyekunyima ajira , ajira hupati ng'o
You should be ashamed of yourself , pathetic !
Usahili uko pale pale .who the fvck do you think you are ?
Mkenda aendelee kuwaminya vizuri ili akili ziwakae.
Waalimu uchwara , hamna akili kabisa .
Kama n nchi yako, nenda ukaajiriwe na 0% yako πPunguza jazba πβπ¦Ί Wewe. Hii nchi ni yetu sote
Hawajui ingilish πWatoke nje ya Tanzania, waende Botswana au hata nyingine soko la ajira ni kubwa Sana kwa upande wa walimu.
Au gavana wa benki kuu ajiuzulu π₯Na sisi wachumi tuliopo kitaaaa tunataka mwigulu aachie uwaziri wa pesa sabb hajatupa kazi t.r.a tukusanye mapatoπππππ
Nilikuambia siku Ile, hukuelewa??Kama n nchi yako, nenda ukaajiriwe na 0% yako π
Una cheo gn pale NETO?Nilikuambia siku Ile, hukuelewa??