DOKEZO Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yule mrombo ni very arrogant, ana egoism, anajiona anajua kila kitu, ameharibu elimu kuanzia mitaala. Ananyanyasa walimu anavyojisika ndio maana analalamikia protokali ya ikulu. Halafu kwanini watu wasiseme huu ni Rais wa kuambiwa.
Mama nae kaingia kwenye mfumo
 
Kwani serikali kutoa ajira kiduchu wameanza leo mbona kipindi hiki ndio maneno yamekua mengi
Kwaiyo unataka watu waendelee kufumbia macho tatizo liendelee kuwa kubwa kwa kigezo cha kuwa tatizo halijaanza leo bali limeanza zamani. Ndicho unachomaanisha mkuu?
 
Mi nina mtazamo yofauti hapo:
Ilitakiwa serikali iwafikie kwa ukaribu hawa wanaosailiwa kuwapunguzia gharama.

Nina mtoto wa shangazi yangu amekaa morogoro almost 4 days akifanya hii kitu mnaitaa Usaili.
Gharama ni kubwa mtu job less hana kazi analipaje hizi gharama?

Amekusanya pesa kwenye biashara yake anakuja kuzika huku kwenye accomodation na malazi, Imagime boda boda wa watu kaacha kazi ya tajiri kaja huku.

Kuna walimu private wameathirika na kazia hii, boss akisikia umeomba ruhusa kwenda kufany interview anakula kichwa.

Kuna namna liangaliwe hili
 
Agenda zao hawa NETO zikizingatiwa kuna msululu wa NETO nyingine kwa Kada nyingine utakuja.
 
Wahaisibu, masekletari..??? Wewe tayari umeshafeli kabla ya interview
 
Kada zingine mbona hawalalamiki? Waalimu huwa akili wanazipeleka wapi? Mnajidhalilisha sana.
 
Hao viongozi watapewa Tshirt chap, watasaliti wenzao chap!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…