DOKEZO Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hawa vijana wakifanya mobilization vizuri na kwa akili serikali itawapigia magoti. Tatizo hiyo movement yao ni ya wachache huko wenzao wakiwa busy kubeti na kushangilia Simba na Yanga na usaliti wa Simba kwa Zuchu
Taratibu tu tutaelewana. Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Group tunazo nane saizi hadi zifike 30 huko, ikiwezekana na mabango tubebe tunawakaribisha ili msikie na hoja zingine
 
Wapuuzi hawa, wao wasifanyiwe usaili kwanini?
Kada zote kwa sasa, usaili ni lazima, many years ago, ndiyo usaili haukuwepo.
Wanajiona wao wanastahili sana kuliko wengine.
Sidhani kama wao huwa wanaulizwa kuanzia vya form one hadi chuo huko, afu wasome kwa week mbili au nne na kuvimaliza
 
Wapuuzi hawa, wao wasifanyiwe usaili kwanini?
Kada zote kwa sasa, usaili ni lazima, many years ago, ndiyo usaili haukuwepo.
Wanajiona wao wanastahili sana kuliko wengine.
Siyo wapuuzi. Punguza jazba, ushawahi ona wapi wasaili wa kada zingine unazozisema Wanasailiwa mkoa Kwa mkoa nchi nzima mwezi na siku kadhaa??
 
Serikali inapata tabu sana kusimamia watanzania wenye akili kama za waalimu.
 
Mkuu mbona kwenye awamu ya 4 ya Jk waiting wa Ualimu walikua wanapata ajira moja kwa moja na wengi wao walikua hawataki kulipoti vituoni, Shida nini imepelekea ajira za walimu kua ngumu kuanzia awamu ya 5 mpaka sasa kwenye awamu hii?
Kada zote miaka mingi nyuma hakukuwa na usahili. Mtu upo shambani unaletewa barua ukaripoti kazini.
 
Siyo wapuuzi. Punguza jazba, ushawahi ona wapi wasaili wa kada zingine unazozisema Wanasailiwa mkoa Kwa mkoa nchi nzima mwezi na siku kadhaa??
Kupata kazi siyo lelemama kwa nyakati hizi hasa kwa mtoto wa mkulima,watu wamekwenda interviews za mbali zaidi ya mara 10,ndiyo wanatoboa, sembuse nyie tena mnazifanyia kila mtu mkoani kwake
 
Kupata kazi siyo lelemama kwa nyakati hizi hasa kwa mtoto wa mkulima,watu wamekwenda interviews za mbali zaidi ya mara 10,ndiyo wanatoboa, sembuse nyie tena mnazifanyia kila mtu mkoani kwake
Ndiyo tofauti ya walimu na ninyi/hao unaowasema. Mnakubalije kupelekwa pelekwa kizembe hivyo? Hii nchi ni yetu sote, basi kama unaona ni sahihi wawe wanarudishiwa gharama za Malazi, usafiri na accomodations zingine. Unakubaliaje kutiwa hasara kidenzi kiasi hicho?? Shutka hii nchi ni yetu sote.
 
Mkuu mbona kwenye awamu ya 4 ya Jk waiting wa Ualimu walikua wanapata ajira moja kwa moja na wengi wao walikua hawataki kulipoti vituoni, Shida nini imepelekea ajira za walimu kua ngumu kuanzia awamu ya 5 mpaka sasa kwenye awamu hii?
Wapo wengi we unataka waajiri tu bila uhitaji?
 
Mtu halazimishwi kwenda kwenye usaili,unapoenda ni kama mtafutaji, kuna kupata au kukosa.
So, kama mtu hataki usumbufu, ni bora asiende.
 
Mkuu mbona kwenye awamu ya 4 ya Jk waiting wa Ualimu walikua wanapata ajira moja kwa moja na wengi wao walikua hawataki kulipoti vituoni, Shida nini imepelekea ajira za walimu kua ngumu kuanzia awamu ya 5 mpaka sasa kwenye awamu hii?
Usiishi kwa mazoea,dunia inabadilika na ww badilika!!!
 
Hili kundi la walimu vilaza waliofeli usaili..asa hamtaki usaili mnataka kupitishwa kama makondooo...

Usaili ni muhimu sana kupunguza wapumbavu kwenye reli..tulieni mtazoea tuuu kama kada zengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…