Iko sawa kwa 100%Walalamikue ajira kuwa kidogo lakini ishu ya interview ni muhimu saana.huyu waziri apongezwe.walimu ,wauguzi na madaktari ni majangaa.unakuta hawajuhi kitu.unakuta nesi hajuhi ata kudunga sindano.Wanatakiwa kufanya mitihani 3 tupunguze vilaza.