Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui waliwaza nn eti jamn unafki siwez Mimi 😃Nyota njema hiyo! Kama Mungu atajalia 2035 tajaribu na mm nivae kofia ya chama😁
Sema sio lazima uwe mnafiki sana zingine unazuga hujaonaSijui waliwaza nn eti jamn unafki siwez Mimi 😃
Umeambiwa ni chai tuElfu tatu inatoshaje kwenye chai na nauli?
Rejea post yangu hapo juu,kipi kimekushangaza?Huu ni uzushi, wakurugenzi hawezi kuwadhalilisha walimu namna hii. Elfu sio kiwango cha fedha kwa chakula cha watumishi wa ngzi yoyote ile. Serikali ikanushe uchonganishi huu haraka.
Kwani hadi mpewe posho ndio mhudhurie mafunzo? Tabia mbaya ya kizembe! Wewe ndiye unapata mafunzo halafu unataka na posho! Anayetoa mafunzo ndiye anapaswa apate posho.Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Kwamba kuna anaezifyeka?Kwani hao wenzetu wanatumia mwongozo gani wa kulipa Posho?
Kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ya Fedha/Hazina
Posho huwa ni shilingi 80,000-250,000 Kwa Siku
Hiyo ya elfu 3, ndiyo naona Mwaka huu 🙌
Kweli Walimu hawapendani 🙌
Inawezekana hao mabosi zao akina DEOs wanawapigaKwamba kuna anaezifyeka?
Watu wafupi huwa mnakuwaga wabishi!! Jina lako linasadifuHuu ni uzushi, wakurugenzi hawezi kuwadhalilisha walimu namna hii. Elfu sio kiwango cha fedha kwa chakula cha watumishi wa ngzi yoyote ile. Serikali ikanushe uchonganishi huu haraka.
🤣Kwani hadi mpewe posho ndio mhudhurie mafunzo? Tabia mbaya ya kizembe! Wewe ndiye unapata mafunzo halafu unataka na posho! Anayetoa mafunzo ndiye anapaswa apate posho.
Halmashauri gani hiyo?..mbona Mimi nimeenda tukapigwa 50000 per day? Na ni siku 3?Kweli mfano ustawi chini ya manispaa kikao cha ndani cha kawaida 40000 per day iko kinasimamiwa na manispaa nje ya manispa mfano now wiki ya sheria kutoa elimu per day 50000 na upo ndani ya manispaa ukitoka na hapo bado mashirika yalio zamini hawaja wasainisha unakuta shirika moja linawasainisha 100000 per day sijawai ona mtu wa ustawi kasain posho ya 20000 kushuka chini
Means halmashauri yenu ina ingiza mapato mengi Na pia inategemea na kikao kumbukaHalmashauri gani hiyo?..mbona Mimi nimeenda tukapigwa 50000 per day? Na ni siku 3?
Ila ni uonevu wa hali ya juu, walimu wanasahaulika sana na ndio hao wanaandaa taifa la kesho.Inawezekana hao mabosi zao akina DEOs wanawapiga
Kwa kweli Wana hali mbayaIla ni uonevu wa hali ya juu, walimu wanasahaulika sana na ndio hao wanaandaa taifa la kesho.