Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana na sijui kwanini hawawazingatiiKwa kweli Wana hali mbaya
Kitunda ya Dar Gomz??
Ni viumbe wa aina yao na wao...Bora hiyo elfu tatu. Mwaka jana walipewa maji ya kikao basi..
Ila walimu sijui nani aliwaloga kwakweli.
Na hapo sasa utakuta wamejazana haswa .
Hushangaii walimu wana miezi sita hawajalipwa shule flani hata mia ila wapo tuuu.. Daah
hAha😂😂😂Kama ulikuwepo hivi😂😂😂😂 walimu mtuliee mtu wa chakula hebu simamisha zoezi la kugawa wameshindwa kujiheshimu😂😂😂😂
Hahhahaha 😂😂😂😂ubwabwa bila kupitia Nest hahahanilikuwa nachat na anko angu ticha, akaniambia ni kweli hizo mbanga, yeye yupo arusha wameambiwa hiviView attachment 3214716
Labda Uelewa wao mdogo ama mfumo walionao unawabana zaidiSana na sijui kwanini hawawazingatii
Chips kavu kwa sasa ni buku mbili na soda ni 700 na mshikaki ni buku hivyo 3000 haitoshi 😂😂😂😂😂😂Ni sawa na kulipwa chips kavu, mshikaki mmoja na mirinda nyeusi ya bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi
Duh elfu sitaSerikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Ndio ujue licha ya umaskini tulio nao pia tuna akili za kimaskini pia mlipaji kaona pesa ni ndogo akaamua a aja justify kwa kuwapangia matumizi kabisa eti chai vipi wale ambao hawataki hiyo chai ulafi tuu.Elfu tatu inatoshaje kwenye chai na nauli?
Basi ndio maana wanawamudu na kuwapelekesha watakavyo.Labda Uelewa wao mdogo ama mfumo walionao unawabana zaidi
Ila ingekuwa Wana umoja, lazima wangebadirishiwa maslahi yao
Changamoto waliyonayo, Kila Mtumishi amekuwa boss wa Mwalimu
Yaani Afisa mtendaji, Afisa Elimu Kata, Afisa kutoka Halmashauri, DEOs, Mkurugenzi wa Halmashauri, Diwani, Mwenyekiti wa Kijiji n.k 🙌
Kwani wanaumwa vifua?Bora hata wawape maji ya Tsh. mia tano na pipi kifua mbilimbili.
Ni matumizi ya chaki yamezidi.Halafu ni mlo ulioasisiwa awamu ya tano huo.Kwani wanaumwa vifua?
Na hili ndiyo tatizo kubwa walilonaloBasi ndio maana wanawamudu na kuwapelekesha watakavyo.