DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bora hiyo elfu tatu. Mwaka jana walipewa maji ya kikao basi..

Ila walimu sijui nani aliwaloga kwakweli.

Na hapo sasa utakuta wamejazana haswa .

Hushangaii walimu wana miezi sita hawajalipwa shule flani hata mia ila wapo tuuu.. Daah
Kwani wanafunzi wanapofundishwa dàrasani wanalipwa? Na waalimu nao wakienda kufundishwa wanakuwa wanafunzi sasa kwanini walipwe?
Eti Mpwayungu Village ?
 
Eti huenda ni kwa sababu supply yao ni kubwa kupita kiasi.
Walimu wako wengi mno bongo sasa Hela zitakuwa nyingi mno labda.
Pia huenda haikuwepo kwenye bajeti.
Ukisema wapo wengi mno you mean primary to advanced level, lakini haya yalihusu walimu wa sec o'level tena wale wa form 1 kwa hyo kwa shule za serikali utakuta max ni walimu 12-14. Shule za serikali ni not more than 4000 kwa hyo wa kulipwa si zaidi ya walimu 60k
 
Kwani hadi mpewe posho ndio mhudhurie mafunzo? Tabia mbaya ya kizembe! Wewe ndiye unapata mafunzo halafu unataka na posho! Anayetoa mafunzo ndiye anapaswa apate posho.
Yule ni mtumishi kaajiriwa kituo x na muda uliopangwa wa kazi. Ukimpeleka kituo y inatakiwa umlipe stahiki zote
 
kama wanapata molo wa kutwa na vituo viko karibu na maeneo yao ya kazi sioni tatizo apo
Unataka kumaanisha wale kijani waliotokea dodoma mjini hawakulipwa chochote waliambulia msosi? Mnashindwa kuthamini muda wa watu. Mlo wa kutwa umekuta kwake hapati?
 
Unataka kumaanisha wale kijani waliotokea dodoma mjini hawakulipwa chochote waliambulia msosi? Mnashindwa kuthamini muda wa watu. Mlo wa kutwa umekuta kwake hapati?
ni maswala ya kiutumishi hivyo hakuna shida kwani ni moja ya majukumu kiutendaji ndugu
 
ni maswala ya kiutumishi hivyo hakuna shida kwani ni moja ya majukumu kiutendaji ndugu
Masuala ya kiutumishi hayako hvyo. Masuala yanamtaka mwajiri amlipe mtumishi wake pindi anapotakiwa kwenda nje ya kituo chake kikazi. Na kituo chake kikazi si halmashauri nzima bali pale anapoenda kusaini kila siku ya kazi kwa mwl ni shuleni kwake
 
Walimu haya yote wanajisababishia wenyewe kujipendekeza na mfumo

badala wao kama walimu watoe elimu kwa jamii kuwaamsha dhidi hii mifumo dhalimu ya watawala cha ajabu wao wamekuwa daraja!
Ukifika uchaguzi au sensa wanatumiwa then wanatupwa kama takataka.Hawajitambui hawa
VERY SAD!
 
Walimu haya yote wanajisababishia wenyewe kujipendekeza na mfumo

badala wao kama walimu watoe elimu kwa jamii kuwaamsha dhidi hii mifumo dhalimu ya watawala cha ajabu wao wamekuwa daraja!
Ukifika uchaguzi au sensa wanatumiwa then wanatupwa kama takataka.Hawajitambui hawa
VERY SAD!
Mifumo yetu inatengeneza mwajiriwa yeyote serikalini kuwa kibaraka wa serikali. Nitajie kada inayosimama kidete na iko chini ya serikali hii, kama si wote basi ni zaidi ya 90% ya kada zote ni vibaraka tu. Tazama wizara ya mambo ya ndani, au bunge + mahakama (ambayo ni mihimili mingine) lakini iko controlled na serikali kuu sembuse hawa waajiriwa waliopo chini yao moja kwa moja watathubutu?
 
Mifumo yetu inatengeneza mwajiriwa yeyote serikalini kuwa kibaraka wa serikali. Nitajie kada inayosimama kidete na iko chini ya serikali hii, kama si wote basi ni zaidi ya 90% ya kada zote ni vibaraka tu. Tazama wizara ya mambo ya ndani, au bunge + mahakama (ambayo ni mihimili mingine) lakini iko controlled na serikali kuu sembuse hawa waajiriwa waliopo chini yao moja kwa moja watathubutu?
Upo sawa mkuu
Lakini kada ya ualimu ipo karibu na jamii sana ukifananisha na wengine yan wewe na mimi wote tumepitia mikoni mwa walimu
Shida kubwa ya walimu ni kutumiwa kama cheap labour kwa mambo yanayohusu chama tawala au serikali.. haimaanishi umeajiriwa basi boss wako akupelekeshe tu huo ni utumwa..

Walimu wanajishusha sana wanatoa elimu lakini wao wanashindwa kuitumia hiyo ELIMU KUJIKOMBOA WAO WENYEWE!
 
Upo sawa mkuu
Lakini kada ya ualimu ipo karibu na jamii sana ukifananisha na wengine yan wewe na mimi wote tumepitia mikoni mwa walimu
Shida kubwa ya walimu ni kutumiwa kama cheap labour kwa mambo yanayohusu chama tawala au serikali.. haimaanishi umeajiriwa basi boss wako akupelekeshe tu huo ni utumwa..

Walimu wanajishusha sana wanatoa elimu lakini wao wanashindwa kuitumia hiyo ELIMU KUJIKOMBOA WAO WENYEWE!
Mwalimu kafungwa kifikra na yuko monitored na kipi akifundishe. Yupo karibu na jamii lakini hiyo hiyo jamiii ndo inaweza kumchomesha kazi yake. Leo hii mwalimu onesha hata chembe ya kutokubaliana na maozo ya chama uone. Taarifa zinafika papo hapo, kuna mwl kuwa CHAKUHAWATA tu anachukuliwa kana ni CHADEMA na yule aliyeko CWT ndo anaonekana ni CCM. Kwa ground wanapitia mazito
 
Hii kada imejaa wajinga sana.
Kada zingine posho za nje ya ofisi kuanzia laki na nusu kwa siku posho za mafunzo au semina za ndani sh. 75k per day . Ila Hawa wanakubali kulipwa sh. 30k kwa siku .
Ni uzwazwa tu, nakumbuka walimu wa sayansi & maths wanaoenda semina ya SEQUIP wanalipwa 150k per day. Wanaotoka nje na halmashauri ambako mafunzo hufanyika, wa ndani ya halmashauri nafikiri ni 90k per day
 
Mwalimu kafungwa kifikra na yuko monitored na kipi akifundishe. Yupo karibu na jamii lakini hiyo hiyo jamiii ndo inaweza kumchomesha kazi yake. Leo hii mwalimu onesha hata chembe ya kutokubaliana na maozo ya chama uone. Taarifa zinafika papo hapo, kuna mwl kuwa CHAKUHAWATA tu anachukuliwa kana ni CHADEMA na yule aliyeko CWT ndo anaonekana ni CCM. Kwa ground wanapitia mazito
Mkuu bado upo sahihi chagamoto za walimu ni nyingi sana kiasi kwamba wamekubali kumezwa na mfumo mbaya zaidi na wao ni miongoni ya jamii hii hii ya watawaliwa

Swali ni lini wataamka na kuamsha jamii na kutumia elimu yao kujikomboa wao wenyewewe kwanza?
Au tuachane nao tu ila waache kulia kulia sana!
 
Mkuu bado upo sahihi chagamoto za walimu ni nyingi sana kiasi kwamba wamekubali kumezwa na mfumo mbaya zaidi na wao ni mingoni ya jamii hii hii ya watawaliwa

Swali ni lini wataamka na kuamsha jamii na kutumia elimu yao kujikomboa wao wenyewewe kwanza?
Au tuachane nao tu ila waache kulia kulia sana!
Miaka ya nyuma wengi wa wale failures za 4 ndo walionekana waende ualimu hivyo wa namna hyo hadi wastaafu wote wabaki hawa wa sasa walio clean hata kwenye vyeti vyao. Yanahitajika mageuzi makubwa ktk kada hii, unakuta mwl anamgwaya hadi mtendaji wa kijiji failure mwenzake utamuamsha lini mtu wa hivyo? 🫡 atleast now ualimu had uwe na div 1-3 huenda wataamka
 
Masuala ya kiutumishi hayako hvyo. Masuala yanamtaka mwajiri amlipe mtumishi wake pindi anapotakiwa kwenda nje ya kituo chake kikazi. Na kituo chake kikazi si halmashauri nzima bali pale anapoenda kusaini kila siku ya kazi kwa mwl ni shuleni kwake
mambo hayaendi hivyo pitia vifungu vyema
 
Back
Top Bottom