DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna siku msonde aliwahi itisha kikao tena jumapili watu wanatoka umbali mrefu hata nauli wala chai hawakupata.
Sioni ajabu wala
 
Huu ni uzushi, wakurugenzi hawezi kuwadhalilisha walimu namna hii. Elfu sio kiwango cha fedha kwa chakula cha watumishi wa ngzi yoyote ile. Serikali ikanushe uchonganishi huu haraka.
 
Huu ni uzushi, wakurugenzi hawezi kuwadhalilisha walimu namna hii. Elfu sio kiwango cha fedha kwa chakula cha watumishi wa ngzi yoyote ile. Serikali ikanushe uchonganishi huu haraka.
Rejea post yangu hapo juu,kipi kimekushangaza?
 
Kwani hadi mpewe posho ndio mhudhurie mafunzo? Tabia mbaya ya kizembe! Wewe ndiye unapata mafunzo halafu unataka na posho! Anayetoa mafunzo ndiye anapaswa apate posho.
 
Kwani hao wenzetu wanatumia mwongozo gani wa kulipa Posho?

Kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ya Fedha/Hazina

Posho huwa ni shilingi 80,000-250,000 Kwa Siku

Hiyo ya elfu 3, ndiyo naona Mwaka huu 🙌

Kweli Walimu hawapendani 🙌
Kwamba kuna anaezifyeka?
 
Huu ni uzushi, wakurugenzi hawezi kuwadhalilisha walimu namna hii. Elfu sio kiwango cha fedha kwa chakula cha watumishi wa ngzi yoyote ile. Serikali ikanushe uchonganishi huu haraka.
Watu wafupi huwa mnakuwaga wabishi!! Jina lako linasadifu
 
Mtaala ushaanza kufeli ,tumehudhuria
Semina majuzi,hawakutupa taarifa kama hii mwanzoni nilienda kwenye semina januari hii jinsi inavyokuwa ngumu kwa kutumia nauli yangu ,imeishia kupotea na sikupewa chochote,.na jambo moja ninaloliona ualimu unadharauliwa na Kila mtu.
 
Halmashauri gani hiyo?..mbona Mimi nimeenda tukapigwa 50000 per day? Na ni siku 3?
 
kama wanapata molo wa kutwa na vituo viko karibu na maeneo yao ya kazi sioni tatizo apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…