Walinzi Arusha wafunga mageti na kuondoka kwenye hospitali kubwa Seliani, wanadai milioni 42

Walinzi Arusha wafunga mageti na kuondoka kwenye hospitali kubwa Seliani, wanadai milioni 42

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Kampuni ya ulinzi Bond security Arusha imefunga mageti yote ya Hospitali ya Selian Jijini Arusha na kuondoka.

Kampuni hiyo ilifanya hivyo kwa kudai malimbikizo ya mishahara ya miezi 6 shilling million 42.

Ambapo mkuu wa kampuni hiyo ya ulinzi akisema waliwapa notice mara saba uongozi wa Hospitali lakini wakawa wanakuza tu. Wakaamua kufunga mageti yote ya hospitali.

 
IMG-20240629-WA2062.jpg
 
KKKT shida nini mpaka mnakosa hela za kulipa..?
Katibu mkuu wa hio diocese anafanya kazi gani sasa ofisini.??
 
KKKT shida nini mpaka mnakosa hela za kulipa..?
Katibu mkuu wa hio diocese anafanya kazi gani sasa ofisini.??
Sadaka, tozo za matibabu ,Bado mnashindwa kulipa wafanyakazi?

Miezi sita watoto wa wafanyakazi wanakula nini na wanasomaje shule?

Mmejiwekea posho kubwa kuliko kinachoingia.

Viongozi wote watimuliwe wa diyosisi nzima pamoja na uongozi wa Hospital na TAKUKURU NA CAG ATIE KAMBI HAPO WAFANYE UCHUNGUZI.

WASISUBIRIE HADI KAULI YA RAIS
 
Sadaka ,tozo za matibabu ,Bado mnashindwa kulipa wafanyakazi?

Miezi sita watoto wa wafanyakazi wanakula Nini na wanasomaje shule?

Mmejiwekea posho kubwa kuliko kinachoingia.

Viongozi wote watimuliwe wa diyosisi nzima pamoja na uongozi wa Hospital na TAKUKURU NA CAG ATIE KAMBI HAPO WAFANYE UCHUNGUZI.

WASISUBIRIE HADI KAULI YA RAIS
Sadaka zikalipe mishahara..? Are you mentally stable kweli..?
Hapo ni kwamba mapato ya hospital yanaweza yakawa yameshuka na solution kwa hospital nyingi wanachofanya ni kupunguza wafanyakazi ili wages saved kwa hio redundancy ikafukie pesa za mikataba na makampuni wabia kwenye kutoa huduma kama hao wa ulinzi, catering and the likes. Na ukweli ni kwamba hospitali nyingi za private saivi hazina wateja wengi, watu wanapumzishwa sana kazi kwenye hii miezi miwili ya karibu.
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Kampuni ya ulinzi Bond security Arusha imefunga mageti yote ya Hospitali ya Selian Jijini Arusha na kuondoka.

Kampuni hiyo ilifanya hivyo kwa kudai malimbikizo ya mishahara ya miezi 6 shilling million 42.

Ambapo mkuu wa kampuni hiyo ya ulinzi akisema waliwapa notice mara saba uongozi wa Hospitali lakini wakawa wanakuza tu. Wakaamua kufunga mageti yote ya hospitali.

Hii siyo ile hospitali ya Lutheran kweli?
 
Nieleweshe huenda nachojua si sahihi.
Managing board zote zinakuwa lead na katibu mkuu wa diocese kama boss wake. Meaning yeye ndo ana control mapato yote ya vitega uchumi vya diocese na yeye ndo ana deal moja kwa moja na strategic plan, implementation na evaluation ya daily reports za hivyo vitega uchumi.
 
Hapo lawama ni kwa menejimenti ya Arusha Lutheran Medical Centre na sio KKKT
Hilo kanisa ni kama genge fulani laa wahuni, waende wakajifunze Ikonda Consolata Fathers Makete
 
Managing board zote zinakuwa lead na katibu mkuu wa diocese kama boss wake. Meaning yeye ndo ana control mapato yote ya vitega uchumi vya diocese na yeye ndo ana deal moja kwa moja na strategic plan, implementation na evaluation ya daily reports za hivyo vitega uchumi.
Katibu bado ni Makara au Megiroo?
 
Jana nilisikia wafanyakazi (Madokta na manesi na wauguzi) nao wamegoma, tena wanadai hawajalipwa miezi sita sasa...Hospitari nao wanadai hawajalipwa na Bima ya Afya!...yaani tafrani
 
Back
Top Bottom