Walinzi Arusha wafunga mageti na kuondoka kwenye hospitali kubwa Seliani, wanadai milioni 42

Walinzi Arusha wafunga mageti na kuondoka kwenye hospitali kubwa Seliani, wanadai milioni 42

Gharama za matibabu zipi juu,

Nani atatibiwa hapo?

Kodi za kuuingiza vifaa Tiba wamepunguziwa lakini wao gharama za Tiba hazishuki nani aje atibiwe hapo?

Punguza gharama ili Wananchi wengi waje kutibiwa na wewe upate pesa nyingi za kuendesha hospital
 
Posho zote za vikao fyeka
Marupurupu yote fyeka
Mishahara minono kwa top leaders punguza.
 
Sadaka, tozo za matibabu ,Bado mnashindwa kulipa wafanyakazi?

Miezi sita watoto wa wafanyakazi wanakula nini na wanasomaje shule?

Mmejiwekea posho kubwa kuliko kinachoingia.

Viongozi wote watimuliwe wa diyosisi nzima pamoja na uongozi wa Hospital na TAKUKURU NA CAG ATIE KAMBI HAPO WAFANYE UCHUNGUZI.

WASISUBIRIE HADI KAULI YA RAIS
Binadamu aongeacho sicho atendacho. Since am grown up man I watch your actions not your words
 
Unakuta kiongozi wa dini sadaka anabeba,

Pesa za hospital kwenye vikao Nako pia anahitaji posho Nene hapo kitabaki nini
Managing of resources sio kazi rahisi rafiki. Ukiona mtu ni manager mzuri na mfanisi wa kazi yake, mpe tu maua yake. Hicho ndo kitu kigumu zaidi kwenye whole concept of Management.
 
Mungu tusaidie kkkt waumini tunakata tamaa. Msituletee ya corridor spring maana nitahamia kwa Mwamposa sasa
 
Back
Top Bottom