Walinzi (Makomandoo) na Wapishi wa Simba SC mliokuwa zamu Derby ya Novemba 5, 2023 Albadiri itatulipia machungu yetu kwa usaliti wenu

Walinzi (Makomandoo) na Wapishi wa Simba SC mliokuwa zamu Derby ya Novemba 5, 2023 Albadiri itatulipia machungu yetu kwa usaliti wenu

Jamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.

Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.

Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.

Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.

Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.

Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    19.4 KB · Views: 3
Jamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.

Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.

Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.

Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.

Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.

Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Wenzako wametulia na kukubali matokeo! Cha kushangaza wewe bado unaendelea kuweweseka. Sijui ndiyo network search.....!!!
 
Ila akili nyingine jamani Hapana Its too much...

Kwanini tusikubali yanga Ni bora sana imefunga goli nyingi

Kwanini tusikubali simba ni Mbovu.
Nadhani hii ndio heshima ya mPira.

Otherwide utakuwa unatumika.

Huwezi ukawa na wastaaafu kama.
Saido mstaafu.
Boko mstaafu.
Chama mstaafu.
Miquissone mstaafu
Kapombe.
Shabalala mstaafu

Ukaifunga yanga yenye vijana kama.
Max,azizi,job,yao,nondo,baka,mzinze

AKILI NI MALI
 
Yaani mpaka mnatia aibu jinsi mnavyotapatapa,...Simba ndio timu inayoongoza kwa uchawi kwa timu za TZ, wakifuatiwa na yule binti yao tuliyo muweka kimoko jana!!

BADO HAMJASEMA!! SEMENI MPAKA USIKU WA MANANE!!
 
Hakuna lolote hizo ni propaganda tu za kutokukubali kuzidiwa na mtani wako. Wachezaji wote wamefanya mazoezi ya kujiandaa na mechi dhidi ya Namungo hakukuwa na mchezaji hata mmoja aliyesimamishwa. Mmepewa ruksa ya kwenda TAKUKURU kwanini mpaka leo hamtaki kufungua kesi? Hakuna aliye saliti wala nini bali mmepata mlichokistahili na kocha mkamtimua hizo zingine ni propaganda tu za kuficha aibu
Wakubali tu kuwa walizidiwa wafanye marekebisho yanayohitajika na mambo yaendelee...

Screenshot_20231108_203406_Instagram Lite.jpg
 
This is stupidity of the highest order. Hivi kwa nini moderators wanaruhusu upuuzi kama huu? Timu yako ni mbovu, period. Wakati wenzenu wanasajili wachezaji wa maana nyie mlikuwa busy kutamba mmeteka wachezaji airport.! Matokeo yake ndiyo haya. Katika mechi zote ambazo simba wamecheza hakuna hata mechi moja ambayo walionyesha fluency of the game. Ulitegemea nini?

Sijawahi kuona mashabiki wapuuzi kama wa simba. Wanaamini sana katika ushirikina. Please this is the 21st century!!

NOTE: Nimeandika jina la "simba" kwa herufi ndogo kusisitiza udogo wenu katika mawazo na uelewa.

Anatumika.

Jf sio ile mkuu
 
Back
Top Bottom