CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Sasa kama maji ndo yamesababisha kufungwa kwenu, haya niambie;
1. Wachezaji waliosimamishwa baada ya Simba kufungwa na Yanga, imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?
2. Kocha mmemfungisha virago kisa kufungwa na Yanga, imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?
3. Kama maji ndo kila kitu, Mangungu anashinikizwa kujiuzulu kisa nini.?? Imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?
MSIPOKUBALI UKWELI KWAMBA MMEZIDIWA UBORA, HAMTAFANYA JUHUDI ZOZOTE ZA KUONGEZA UBORA, NA HIVYO KUPELEKEA KUBAKI MLIVYO.
Ifikie kipindi myakubali madhaifu yenuJamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.
Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.
Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.
Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.
Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.
Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.
ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Na ww hebu tupishe huko...unaanza kuboa sasa...Simba mbovu labda ya kwako..kwahyo ubovu ni kufungwa na Yanga tuu??.nilikua naona kuna muda unaandika point ila naona unaanza kupuyanga...kila kocha ana falsafa zake...tuone huyo atakaekuja atawatumiaje wachezaji..
Kama umehama kuishabikia timu yetu ww sepa acha kubeza...
Hata miye nafikiri anatumika kuhamisha lawama toka kwenye ubovu wa timu na udhaifu wa kiutendaji wa viongozi wa Simba ila waache kuwajibishwa na kichukuliwa hatuaNakubaliana na wewe kwa asilimia 100, huyu jamaa anatumika na viongozi wa Simba kueneza propaganda humu JF.
Thread closedSasa kama maji ndo yamesababisha kufungwa kwenu, haya niambie;
1. Wachezaji waliosimamishwa baada ya Simba kufungwa na Yanga, imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?
2. Kocha mmemfungisha virago kisa kufungwa na Yanga, imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?
3. Kama maji ndo kila kitu, Mangungu anashinikizwa kujiuzulu kisa nini.?? Imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?
MSIPOKUBALI UKWELI KWAMBA MMEZIDIWA UBORA, HAMTAFANYA JUHUDI ZOZOTE ZA KUONGEZA UBORA, NA HIVYO KUPELEKEA KUBAKI MLIVYO.
Kabisa aiseeeUko vizuri kwenye fiction stories, andika kitabu tutanunua Mkuu.
Akikujibu ntagSasa kwanini mmemfukuza Robert? [emoji2772]
Chizi hilo usilizingatieWe mjomba itoshe basi na nyuzi zako za kila dk 3 kuonyesha watu ulivo na uwezo mkubwa wa kupata habari nyeti.
Unajichanganya sana man, maana wakati mmoja unakuja na uzi unao appreciate ubora wa Yanga technically dhidi ya timu yako baada ya dk 3 unakuja tena na uzi unaodai timu yako imefungwa 5 kutokana na sababu nnje ya uwanja(ushirikina, rushwa, uongozi mbaya nk).
Huoni hau make sense kwa hoja zako? Ukishakubali mtu kakuzidi uwezo technically unakuja vp tena na sababu zingine? Kuna mwenye akili anaweza kukubali? Au lengo ni ujaze nyuzi nyingi humu uwe platnum member?
Mzee unatuchosha bana maana kitengo cha sports chote umekiteka wewe na nyuzi zako zinazojichanganya.
ONYO: Msimchukulie serious huyu alieandika hizi pumba hapa juu,huyu ni Certified Idiot wa Jamiiforums,Dr kamshauri awe anaandika pumba ili kupunguza kiwango cha ujinga wake kwenye ubongo.View attachment 2809087
Natafuta kazi halali jijini Dodoma
Huu uzi ufutwe. Nilikuwa na kijana Namuombea kazi. Alikiwa ni kijana wa Dodoma Elimu yake Undergraduate Development Economics. Masters Degree in Finance and Investment. AMEMALIZA MASOMO NA AMEPATA KAZI. Asanteni kwa ushirikiano. 🙏www.jamiiforums.com
Pumbavu Wahed Wewe yaani huu Uzi ulianza Kuuandika hivi Mwenyewe kutokana na Njaa zako na Umasikini wako huko Kijijni Kwenu ulikozaliwa halafu baada ya Kuona Majigambo yako ya Uongo na Kweli hapa Jamiiforums Watu wamekushtukia kuwa hauko hivyo haraka sana kwa Aibu Kubwa ukaja Kuurekebisha ( Edit ) kwa Kutuzuga kwa Kujifanya eti Maudhui ya ule Uzi hayakuwa yako bali ulikuwa Unamuandikia tu Mtu kumuombea Ajira / Kazi.
Naomba nikuajiri uwe Unasafisha Kinyesi cha Nguruwe wangu ninaowafuga Tua Ngoma au uwe Unawaogesha Mbwa Wangu na uwe Unasafisha na Banda lao pia sawa?
Umeyakanyaga.....!!!
Cc: adriz
Kayakanyaga na kiukweli atanikoma.Sio vyema kumtukana mwenzako,
Mbona wewe mfupi kama pimbi hatuongei??
Au unajifanya hatukujui??
Tunakuvumilia tu.
Au unataka nikuteke??
We mjomba itoshe basi na nyuzi zako za kila dk 3 kuonyesha watu ulivo na uwezo mkubwa wa kupata habari nyeti.
Unajichanganya sana man, maana wakati mmoja unakuja na uzi unao appreciate ubora wa Yanga technically dhidi ya timu yako baada ya dk 3 unakuja tena na uzi unaodai timu yako imefungwa 5 kutokana na sababu nnje ya uwanja(ushirikina, rushwa, uongozi mbaya nk).
Huoni hau make sense kwa hoja zako? Ukishakubali mtu kakuzidi uwezo technically unakuja vp tena na sababu zingine? Kuna mwenye akili anaweza kukubali? Au lengo ni ujaze nyuzi nyingi humu uwe platnum member?
Mzee unatuchosha bana maana kitengo cha sports chote umekiteka wewe na nyuzi zako zinazojichanganya.
DahhIngependeza kushambulia hoja yangu kuliko kunishambulia mimi.
Simple simba ina wastaafu wafuatao.
1. Saido msfaafu.
2. Chama mstaafu.
3. Ngoma mstaafu.
4.Miquissone mstaafu.
5. Boko mstaafu.
6. Kapombe mstaafu
Hawa wazee wanakwenda kucheza na vijana damu inachemka kama...
Max, yao. Diara.
Azizi, Nondo, msheri
Job, kibwana.
Baka, kibabage. ..... nk