Walinzi (Makomandoo) na Wapishi wa Simba SC mliokuwa zamu Derby ya Novemba 5, 2023 Albadiri itatulipia machungu yetu kwa usaliti wenu

Simba mnatafuta justification kwamba litimu lenu ni libovu,msipaloacha kulialia mechi ijayo mnakula mara mbili ya hizo
 
Uwanja hauna CCTV camera na niuwanja wa TAifa

Mkuu ,ungetuletea na kafootage kahao waganga ziwamoja wakiingia humo
 
Idiot.
 
Sasa kama mtu anafika Chuo kikuu na kunukiwa degree ndo anakua na akili na mawazo ya namna hii vipi yule ambae kaishia la 7B ama form 4C?! Hii nchi ina safari ndefu sana. Msomi wa Chuo kikuu akili imeegemea kwenye ulozi ambae hajasoma si atakua anatembea na matunguri mchana kweupe[emoji848]
 
Hata uandikie nini history ishaandikwa. Jipange kwa marudiano. Pole sana . Kunywa aspirin au konyagi
 
Wanao imaliza simba ni wanasimba inatia uchungu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…