A
Anonymous
Guest
Nina fanya kazi kazi katika Mgodi wa Magesa Gold mine uliopo Nyamatagata wilaya ya Geita mkoani Geita.
Changamoto iliyopo ni kwamba; tuna zaidi ya miezi mitatu (3) hatujapata mishahara, mgodi ulikuwa umesimama uzalishaji kutokana na changamoto ya mvua zilizokuwa zinaendelea kunyesha lakini sisi tuliendelea na kazi kwa sababu sisi tupo kwenye sekta ya ulinzi.
Mhusika anadai hawezi kulipa pesa kwa sasa kwa sababu kazi hazifanyiki na sisi hatuna pesa yeyote ile na hataki hata kuongea na sisi.
Tunaomba mamlaka husika au serikali watusaidie.
Changamoto iliyopo ni kwamba; tuna zaidi ya miezi mitatu (3) hatujapata mishahara, mgodi ulikuwa umesimama uzalishaji kutokana na changamoto ya mvua zilizokuwa zinaendelea kunyesha lakini sisi tuliendelea na kazi kwa sababu sisi tupo kwenye sekta ya ulinzi.
Mhusika anadai hawezi kulipa pesa kwa sasa kwa sababu kazi hazifanyiki na sisi hatuna pesa yeyote ile na hataki hata kuongea na sisi.
Tunaomba mamlaka husika au serikali watusaidie.