Umeandika gazeti refu lakini ni ujinga mtupu umeandika.
Barakoa ni agizo kwa ofisi zote ni lazima uvae barakoa, kama unaona mlangoni unalanguliwa nunuwa hukohuko mtaani kwako nenda na barakoa yako au shonesha ya kitenge kwa fundi utakuwa unafuwa.
Ni kwa nini wao hawavai barakoa si kazi yako, wao kazi yao ni kuhakikisha wageni wote wana barakoa.
Lets assume wao wamechanja chanjo ndio maana hawavai, lakini mgeni lazima.
Magari ya Polisi mengi ni mabovu, polisi wengine kwenye pikipiki hawavai element, sasa wewe waendee na hoja zako za kiboya hizi ndio utaelewa dunia ilivyo.
Yani kusumbuwa watu JF kwa ajili ya barakoa ya jero? Upumbavu huu.