Walinzi wa getini ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam punguzeni njaa, msijifiche kwenye kichaka cha barakoa

Walinzi wa getini ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam punguzeni njaa, msijifiche kwenye kichaka cha barakoa

Kuvaa Barakoa ni agizo la ofsi husika nenda kwenye taasisi zote za uma au hata mahosptal kote hupiti bila barakoa getini, Lakini kama wewe huwezi nunua kwao nenda ukanunue unakojua wewe uje umevaa barakoa uone kama watakuzuia. Watanzania na mambo ya kujiona wajuaji sijui mpaka lini Vaeni barakoa hutaki kaa kwako usiende kwenye ofsi za watu ...walinzi hakuna kuachia kenge ingie ndani
Mwenye jukumu la kuvaa barakoa ni wote au wanaoingia ofisi za umma?
Na kwann watumishi wenyewe hawavai.
Na hata baada ya kuingia na barakoa humo ndani wote wamevaa barakoa shingoni au mkononi badala ya kuzivaa usoni.

Je hilo ndy lengo la kulazimisha kununuwa barakoa?
 
KILA mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
Mkomoe mlinzi kwa kutembea na barakoa yako.
 
Kuna nguruwe wengine suma JKT pale jengo la psssf hapo kivulini, the same battle wale Ngedere tumezinguana sana. Kisa barakoa na upekuzi wa begi langu huku wao hawana barakoa.
Enzi zangu nikiwa mlinzi, nyumbu kama nyie nilikuwa NAWAMINYA PUMB*****U TU
 
Back
Top Bottom