Walinzi wa getini ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam punguzeni njaa, msijifiche kwenye kichaka cha barakoa

Mwenye jukumu la kuvaa barakoa ni wote au wanaoingia ofisi za umma?
Na kwann watumishi wenyewe hawavai.
Na hata baada ya kuingia na barakoa humo ndani wote wamevaa barakoa shingoni au mkononi badala ya kuzivaa usoni.

Je hilo ndy lengo la kulazimisha kununuwa barakoa?
 
KILA mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
Mkomoe mlinzi kwa kutembea na barakoa yako.
 
Kuna nguruwe wengine suma JKT pale jengo la psssf hapo kivulini, the same battle wale Ngedere tumezinguana sana. Kisa barakoa na upekuzi wa begi langu huku wao hawana barakoa.
Enzi zangu nikiwa mlinzi, nyumbu kama nyie nilikuwa NAWAMINYA PUMB*****U TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…