Walinzi wa Kenya na Rwanda watifuana kwenye mazishi ya Rais Moi

P.Kagame ndo President wa Afrika, hata hutembea na magari yake kama POTUS hata akiwa nje ya nchi beast lake humfwata, hapandi gari la mwenyeji wake hata siku moja.
 


Hata akija TZ utafikiri POTUS, mpaka air space yetu inafungwa.
 

Mkuu wa itifaki ajiuzuru kwanini, mbona iwe kwa walinzi wa Kagame tu ilhali walikuja viongozi wengine na walinzi wao na wote wakafuata itifaki bila taharuki, iweje wa huyo mmoja ndio wakiuke?
 
Kenya walitakiwa wawape vitambulisho maalum vya kuvaa ili,kutambuana
Sasa kama huyo waziri wa ICT wa kenya amezuiwa kuingia itakuwa kwa hao wageni?
Siku ingine mjifunze kupikea marais wengi kwa dharura
Ni kosa kubwa sana kwa mlinzi kuachwa na Rais nje ya umbali unaotakiwa,anaweza hata kufukuzwa kazi
 
Inashangaza kuona askari kakamavu wa Kagame wanatembeza mkong'oto kwa askari Wenu legevu tena ndani ya ardhi yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kenya imewahi kupokea marais zaidi ya 40 kwa mpigo mmoja bila issue yoyote, yaani Kenya hupokea marais wengi zaidi ya Tanzania na haijawahi kutokea tatizo lolote, huyu Kagame amekuja Kenya mara nyingi sana, iweje kwa siku hiyo mabaunsa wake watumie vifua kihivyo hadi wakatolewa nje nje.
Angalia mfano huu hapa

Over 4,700 delegates including Heads of states, ministers, business leaders, senior UN officials and civil society representatives have gathered in Nairobi to attend the fourth UN Environment Assembly which runs from today March 11 to 15. Fourth UN Environment Assembly opens in Nairobi
 
Hapo huwa kuna nguvu ya UN na FBI
Kubali tu hamkujipanga
Kenya mna matatizo sana ya kiusalama achilia mbali kupigwa na Alshabab
Ruto aliwahi kujikuta yupo airport na mlinzi mmoja tu
Msafara wa kikosi cha ulinzi wa Rais ulilipuliwa na lori la mafuta wakafa walinzi 6
Kama nyie wenyewe tu mnashindwa kujilinda,nani atawaamini kuwaachia kiongozi wake
 

Nimekuambia Kenya huwapokea marais wengi kuizidi Tanzania, wanakuja wengi sana kwenye vikao tofauti na hakuna hata sku moja kumekua na tatizo lolote, huyu Kagame amekuja mara nyingi sana na hajawahi kuwa na issue yoyote.
Juzi wamekuja marais 10 wa Afrika, na wakaondoka wote bila tukio, najua huwa ina wauma sana kuona Alshabaab wameshindwa kutumia halfa kama hizi kufanya kitu.
 
Nyie ni watu wa kunyukwa tu
Na mnenyukwa tuuuu

Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ilitokea pia South Afrika walinzi wa raisi wa Urusi walizuiliwa kuingia katika conference hall wakati huo Putin alishaingia ndani na wao wakazuiliwa nje.

Hao Wanyarwanda wameamua kutengeneza drama na kuwatingisha mkiwa kwenu, nadhani kingereza mnaita ku "bully"[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungiki wanyonge sana,ona hapo wanavyochezea kichapo kutoka kwa walinzi wa kagame,yan jawa hata jeshi la ethiopia kuna kipindi lilivuka boda ya kenya likatembeza kichapo cha haja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Navojua kiongozi wa nchi anapoingia katika nchi ya kigeni jukumu la ulinzi ni la nchi iliyopokea mgeni.sasa hao wanyarwanda naona Kama walikua wanaonesha mbwembwe.
Kujipendekeza kwa mkulu wao na kuonekana wanafanya kazi yao tu...
Ujinga mtupu...
 
Mungiki wanyonge sana,ona hapo wanavyochezea kichapo kutoka kwa walinzi wa kagame,yan jawa hata jeshi la ethiopia kuna kipindi lilivuka boda ya kenya likatembeza kichapo cha haja

Sent using Jamii Forums mobile app
Am told that magufuli replaced presidential guard yake na TISS paramilitary/ Usalama wa Taifa yaani NIS yenu.
Pia ali strike deal na kagame who gave him special forces to protect him because he doesn't trust the army.
Apparently there was a warning of a coup attempt or a failed attempt thats why the guy is so paranoid he rarely travels outside the country and moves in convoys of heavily armoured vehicles.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…