Walinzi wa Kenya na Rwanda watifuana kwenye mazishi ya Rais Moi

Walinzi wa Kenya na Rwanda watifuana kwenye mazishi ya Rais Moi

Hiyo ilitokea pia South Afrika walinzi wa raisi wa Urusi walizuiliwa kuingia katika conference hall wakati huo Putin alishaingia ndani na wao wakazuiliwa nje.

Hao Wanyarwanda wameamua kutengeneza drama na kuwatingisha mkiwa kwenu, nadhani kingereza mnaita ku "bully"[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kagame anashindwaga kuleta drama zake tz maana anatujua vizuri sana kua hatutakagi ujinga, alipgaga biti kipindi cha jk asee hakuamin kilichomkuta hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ilitokea pia South Afrika walinzi wa raisi wa Urusi walizuiliwa kuingia katika conference hall wakati huo Putin alishaingia ndani na wao wakazuiliwa nje.

Hao Wanyarwanda wameamua kutengeneza drama na kuwatingisha mkiwa kwenu, nadhani kingereza mnaita ku "bully"[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kagame anashindwaga kuleta drama zake tz maana anatujua vizuri sana kua hatutakagi ujinga, alipgaga biti kipindi cha jk asee hakuamin kilichomkuta hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko how old are you?? Hivi unadhani kuna MTU Africa hapa anamwamini kagame kiasi cha kuchukua walinzi wake??? Au hujui historia ya kagame??
Et magu aache walinzi watz achukue kwa kagame hahahaha da wee jamaa au umeandika kutania tuu
Am told that magufuli replaced presidential guard yake na TISS paramilitary/ Usalama wa Taifa yaani NIS yenu.
Pia ali strike deal na kagame who gave him special forces to protect him because he doesn't trust the army.
Apparently there was a warning of a coup attempt or a failed attempt thats why the guy is so paranoid he rarely travels outside the country and moves in convoys of heavily armoured vehicles.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo akija hapa Trump jukumu la ulinzi wake tunaachiwa sisi kweli ?
Thubutu
Alipokuja Obama ikulu ilipekuliwa na wamarekani nje ndani.Toka airport walinzi wa marekani waliongoza kila kitu wa kwetu walikaa pembeni!
 
Ndio tatizo la pombe za kienyeji hili
Am told that magufuli replaced presidential guard yake na TISS paramilitary/ Usalama wa Taifa yaani NIS yenu.
Pia ali strike deal na kagame who gave him special forces to protect him because he doesn't trust the army.
Apparently there was a warning of a coup attempt or a failed attempt thats why the guy is so paranoid he rarely travels outside the country and moves in convoys of heavily armoured vehicles.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom