TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Kagame anashindwaga kuleta drama zake tz maana anatujua vizuri sana kua hatutakagi ujinga, alipgaga biti kipindi cha jk asee hakuamin kilichomkuta hahahaHiyo ilitokea pia South Afrika walinzi wa raisi wa Urusi walizuiliwa kuingia katika conference hall wakati huo Putin alishaingia ndani na wao wakazuiliwa nje.
Hao Wanyarwanda wameamua kutengeneza drama na kuwatingisha mkiwa kwenu, nadhani kingereza mnaita ku "bully"[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kagame anashindwaga kuleta drama zake tz maana anatujua vizuri sana kua hatutakagi ujinga, alipgaga biti kipindi cha jk asee hakuamin kilichomkuta hahahaHiyo ilitokea pia South Afrika walinzi wa raisi wa Urusi walizuiliwa kuingia katika conference hall wakati huo Putin alishaingia ndani na wao wakazuiliwa nje.
Hao Wanyarwanda wameamua kutengeneza drama na kuwatingisha mkiwa kwenu, nadhani kingereza mnaita ku "bully"[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Am told that magufuli replaced presidential guard yake na TISS paramilitary/ Usalama wa Taifa yaani NIS yenu.
Pia ali strike deal na kagame who gave him special forces to protect him because he doesn't trust the army.
Apparently there was a warning of a coup attempt or a failed attempt thats why the guy is so paranoid he rarely travels outside the country and moves in convoys of heavily armoured vehicles.
ThubutuMkuu kwa hiyo akija hapa Trump jukumu la ulinzi wake tunaachiwa sisi kweli ?
Am told that magufuli replaced presidential guard yake na TISS paramilitary/ Usalama wa Taifa yaani NIS yenu.
Pia ali strike deal na kagame who gave him special forces to protect him because he doesn't trust the army.
Apparently there was a warning of a coup attempt or a failed attempt thats why the guy is so paranoid he rarely travels outside the country and moves in convoys of heavily armoured vehicles.
Sio kweliP.Kagame ndo President wa Afrika, hata hutembea na magari yake kama POTUS hata akiwa nje ya nchi beast lake humfwata, hapandi gari la mwenyeji wake hata siku moja.